Balozi wa Marekani akutana na Katibu mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Lumumba jijini Dar es Salaam

Balozi wa Marekani akutana na Katibu mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Lumumba jijini Dar es Salaam

Balozi wa Marekani nchini leo amekutana na Katibu mkuu wa CCM katika ofisi ndogo ya chama Lumumba jijini Dsm.

Taarifa rasmi ya walichozungumza Dr Bashiru na balozi huyo wa dunia zitaletwa.

Source Watetezi tv

Maendeleo hayana vyama!
Aliyetakiwa akutane na mgombea urais imekuwaje?
Au balozi hajui kiswahili

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Bashiru ndio mgombea urais ?Jiwe kala kona kaona slang haipandi ? Atabaki yes , yes , yes , akaona isiwe tabu asepe .
 
Asisahau kumkumbusha kuwa hii nchi ni nchi huru kama ilivyo Marekani kwahiyo angalau watuheshimu kwa hilo.

Amkumbushe kuwa Watanzania watampigia kura nyingi JPM October 28th.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
15 October 2020

Ofisi Ndogo Makao Makuu
Mtaa wa Lumumba
Dar es Salaam, Tanzania


cadcbd41-f32d-4782-a9f9-93f9e9bb30fe-1.jpg
7f63e7e7-9043-4b45-bc1c-ec47ab6adf38.jpg
Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally Kakurwa wakiagana na Balozi wa Marekani Tanzania Dkt. Donald J. Wright ambaye amefika katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi Lumumba jijini Dar es Salaam kwa mazungumza katika masuala mbalimbali
 
15 October 2020

Ofisi Ndogo Makao Makuu ya CCM
Mtaa wa Lumumba
Dar es Salaam, Tanzania

Balozi Dr. Donald Wright afika ofisi ndogo za Makao Makuu ya CCM jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa CCM Dr. Bashiru Ally Kakurwa

14a33948-7b85-4190-a8cf-e1f35f276a79-1.jpg

Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally Kakurwa akiongozana na Balozi wa Marekani Tanzania Dkt. Donald J. Wright ambaye amefika katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi Lumumba jijini Dar es Salaam.
28cf31b0-7461-40d9-9e99-a2d6f1d4ddbb-1.jpg
321f5fee-2ce4-4941-8a72-fe9ef8fe9efe-1.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Utakuta kabinet nzima ya chadema inaamini huu uharo wa kigogo hivi hiyo laki 5 utahonga mawakala wangapi nzima? Hizo hela za kuchezea hivyo huyo jamaa yenu anafikiri ni makaratasi?
CCM wanafanya mambo ya ajabu hata hili wala huwezi kubisha kuwa hawatafanya.

Kama walichota mipesa kuhonga kina Waitara na kurudia chaguzi watashindwa nini wakati washazoea kufanya upuuzi.

Au kuchota 38M kwenda kumtoa Msigwa sasa ni usenge gani unadhani hawawezi kufanya tena ?
 
17 Aug 2018

Katibu Mkuu CCM Dkt. Bashiru Ally awajia juu Mabalozi, asema Tanzania ni huru



“Taifa letu ni huru na litaongozwa kwa mujibu wa sharia, Balozi ziheshimu uhuru wetu…hakuna taifa jingine lenye mamlaka ya kuingilia masuala ya ndani ya Tanzania,” ni kauli ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dokta Bashiru Ally.
 
Hahaha wapiga kura wa wapi lumumba?!

Huwa anatudanfanya sisi na kiingereza cha hovyo hovyo sasa ndio muda akaonyeshe anaweza.

Your excellency...I am preaching to you... but you are not reachable ...!
Nyie Bavicha ACHENI kupotosha Rais alisema hivi...Mr President I am trying to Preach but I can not Reach You..nafikiri alimaanisha Mh.Rais najaribu kuongea /kuhutubia kwa Kiddhungu lakini sikufikii wewe!
 
Katibu Mkui wa CCM ni mmoja wa viongozi makini na mahiri. Utendaji wake unajieleza kwa vitendo' hana makuu pamoja na ukweli kuwa ni mkuu. Hana mbinu za kuwahadaa na kulaghai wananchi na wanachama wa CCM kwa kutumia masinia ya ubwabwa maharagwe. Kiongozi anayejua uongozi ni utumishi si ucelebreti wa kwenda kupiga picha na wasanii wa hollywood.

Kumbuka huyu naye ameibuka baada ya maamuzi sahihi ya Visionary leader JPM. Wezi na mafisadi hawakumtaka huyu' maana walijua ni mwiba wa mikakakati yao ya kutupangia viongozi wa kuliongoza taifa.

Hapa ndio nakuja na mbinu nyingine inayotumiwa na maadui wa ndani na nje wa Taifa la Tanzania. Moja ya mikakati yao ni huu wa kuendelea kupanga nani atakuwa Rais baada ya JPM. Tutakuwa tukirudi kulekule tukiacha Taifa hili likapangiwa rais na genge la wahuni na vibaka waliopewa jina la heshima la mafisadi.
 
Unafikra finyu wewe. Udikteta unaujua au unausikia?? Jambo usolijua litakusumbua
1.Kutumia polisi kuvuruga mikutano ya akina Ester Bulaya ni udikteta

2.Kumbambikizia Lissu kesi fake ni udikteta

3.Kumuua Ben Saanane ni udikteta

4.Kutunga sheria fake za kunyamazisha magazeti,radio na TV ni udikteta

5.Kutunga sheria fake za kufunga watu midomo wasitumie social media kuikosoa serekali ni udikteta

6.Kuua wapinzani na kwenda kutupa maiti zao Ufukweni ni udikteta

7.Kung'ang'ania madaraka wakati magonjwa yako ya moyo yanakuzuia kuongoza vizuri ni udikteta

8.Kufanya siasa mwenyewe kwa kipindi cha miaka mitano na kunyima wapinzani wasifanye siasa ni udikteta

9.Kutunga sheria fake za kunyima wapinzani wasiungane ni udikteta

10.Kumpiga Lissu risasi 30 ili afe kwa sababu ni mpinzani wako ni udikteta

Serekali ya Rais Magufuli imefanya utopolo wote huo ndani ya miaka mitano.Sasa unataka niite ni serekali tukufu ya kidemocrasia?!Nikikuita ni mbumbumbu nitakuwa nimekuonea?
 
Balozi wa Marekani nchini leo amekutana na Katibu mkuu wa CCM katika ofisi ndogo ya chama Lumumba jijini Dsm.

Taarifa rasmi ya walichozungumza Dr Bashiru na balozi huyo wa dunia zitaletwa.

Source Watetezi tv

View attachment 1601057
View attachment 1601060
Maendeleo hayana vyama!
CIA linaendelea kupata ushahidi kwa mbinu za kimedari....when you think you are safe........!! 😅😅
 
Katibu Mkui wa CCM ni mmoja wa viongozi makini na mahiri. Utendaji wake unajieleza kwa vitendo' hana makuu pamoja na ukweli kuwa ni mkuu. Hana mbinu za kuwahadaa na kulaghai wananchi na wanachama wa CCM kwa kutumia masinia ya ubwabwa maharagwe. Kiongozi anayejua uongozi ni utumishi si ucelebreti wa kwenda kupiga picha na wasanii wa hollywood.

Kumbuka huyu naye ameibuka baada ya maamuzi sahihi ya Visionary leader JPM. Wezi na mafisadi hawakumtaka huyu' maana walijua ni mwiba wa mikakakati yao ya kutupangia viongozi wa kuliongoza taifa.

Hapa ndio nakuja na mbinu nyingine inayotumiwa na maadui wa ndani na nje wa Taifa la Tanzania. Moja ya mikakati yao ni huu wa kuendelea kupanga nani atakuwa Rais baada ya JPM. Tutakuwa tukirudi kulekule tukiacha Taifa hili likapangiwa rais na genge la wahuni na vibaka waliopewa jina la heshima la mafisadi.
Naona bashiru umeibuka huku kujipigia debe.
 
Back
Top Bottom