Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Yu@×÷$%^7_^%$÷÷'tyyuyeedfy7htrscgy822689jjfw369jvrt66rxv95t4cycbh bvv ghbbxfyNa sisi mbona balozi zetu hazikemei watu kupigwa risasi kila siku huko kwao ...Wasitishe hiyo misaada na nyie muende huko mkaishi
Africa Mashariki kwa ujumla tutawakemea wawakilishi wa nchi mbalimbali humu duniani wanaokiuka Sheria za kimataifa na ustaarabu wa kidipomasia...Mmarekani kukemea mauaji imewakera sana machawa
Sisi mtu yeyote anaye ungana nasi kutetea Haki za binadamu tunamkaribisha
Kama huelewi.So What?
Hayo maswali waulize viongozi wako wanaopokea hiyo misaada.Ukipewa msaada au mkopo wewe ukaenda kuufuja usifanye cha maana kosa nila aliyekupa au wewe uliyepewa?.Au hujui matatizo ya viongozi wa Afrika tukupe mifano.Unajua ni miaka mingapi ishapita tangia waanze hii misaada? Na imetufikisha wapi.
Misaada hii ilianza kwa ajili ya kuwasaidia Wazungu wenyewe. Na ina endelea kuwasaidia wao wenyewe na ajenda zao.
Malkia wa Uingereza aliwahi kutoa £20 kama mchango wake kwa misaada inayokuja Afrika, lakini uliza ilienda kumsaidia nani? Na bado alisema ametoa msaada🙌🏾
nonetheless
Fedha hizi ni nyingi sana kwa miaka mitatu $7.5billion? sidhani hata biashara baina ya nchi hizi mbili zinafikia huko. Zimefanya nini tangible?
Natamani nikafukue moyo wa Livingstone Ilala.
Kuongoza taifa ni akili wala sio hisia. Ukiweka hisia kwenye uwongozi wa Taifa unajiandalia kaburi lako binafsi maana presha itakuondoaJana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Toa ushoga wako hapa.Akili za akina doto magari hizi
Dogo nenda kajadili mambo ya diamond kukata viono hadharani huku umepotea
Mshamba mtoto nakupa ukweli , hunikuti kwa chochote hata kweny ukoo wenu hakuna wa kunikuta ...Mkitekwa mtapiga kelele kutafuta huruma 😀 😀 😀 ...Raisi kashasema kawaambie mabwana zako .....Hasira za Nini dogo
Mmarekani kakemea vitendo viovu vya samia vya kutekwa watu na kuwauwa
Ubaya wake Nini dogo
Ccm ndo Huwa wanashangilia wakipewa misaada, imekuwaje tena mnamchamba don wenu kisa kuwaambia mfuate haki za binadamu??
Leo asubuhi huku mbezi beach nikifanya jogging nimekutana na landrover tano zimejaa polisi zinashuka kutoka Maringo zinaelekea rainbow."Viwanda" ndivyo viwe gharama ya maisha ya waTanzania? Hoja yako hapa inakushusha daraja. Kulalamikiwa uongozi/rais hakujawahi kufikia kiwango hiki na kwa mambo mengi mbalimbali kiasi hiki. Samia kashuka sana. Mbaya zaidi, badala ya kuelewa yanayo lalamikiwa, hotuba zake zinazidi kuchochea moto, akidhani kuvimba kwake ndiko kutatia watu hofu.
Ndiyo, Mmarekani anastahili kunyooshewa vidole kwa mengi yanayofanywa nje ya nchi hiyo; lakini hakuna kiongozi aliye thubutu kufanya ujinga ndani ya nchi hiyo akabaki salama kama hawa wa kwetu. Kwa hiyo, hawa wakikoromewa na huyo huyo Mmarekani, pamoja na ubaya wake unao julikana nje, raia wanaonyanyaswa na viongozi wao kama Samia ni lazima washangilie.
Kama umesoma Ukraine, halafu ukaandika yale uliyo andika kule mwanzo, inaonyesha hukujifunza vizuri uhusiano wao na Urusi/Marekani ulivyo geuka kuwa sasa hivi.
Balozi kaambiwa ukweli na aufanyie kazi la sivyo jaramba litamkuta la kurudi home, akae akijua yeye siyo balozi wa kwanza kua Tanzania na hatakua balozi wa mwisho,watakuja wengi tu,wa muda mrefu au wa muda mfupi!!Balozi atekwe Kwa kumkosoa Chura kiziwi.
Mwana una fikra za kitumwa sana,na lazima riziki yako sasa hivi bila wazungu hupati,ndiyo maana umekua muwoga hadi unamruhusu mfadhili wa faida akupangie maisha! Wwe unazani kama Marekani angekua hafaidiki na chochote kile na Tanzania unazani ungemuona huku!!??Tz hatuna nguvu hii unayoionyesha hapa. Tusitake kuongopeana. Marekani hapaswi kweli kuingilia mambo ya nchi yoyote, lakini ili asiingilie unapaswa kuwa na nguvu. Sio Tanzania tu, Africa yote hakuna wa kumzuia kuingilia.
Nchi zenye nguvu tu wanashindwa kumzuia, ndio ije kuwa Tanzania
Amiri Jeshi Mkuu kesha ongea wwe nani upinge!!??Viongozi wa kitaifa wanatakiwa watunze kauli zao, (public figures have to keep their words) and that any decision you make in life you are responsible for it, pia
Maamuzi yoyote utakayo yafanya maishani mwako utawajibika nayo
Alafu kuna mtu anajitutumua eti "ntaongea na marais wenzangu", how naive is that?
Ujui hata Dunia inaelekea wapi mjinga wewe .Bora ukae kimya ufiche upumbavu wako!!!Mbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .
Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
Umekariri hamna unachojua 😀 😀 😀 ...Yaani dogo unajidanganya, jiulize tu pesa zetu wanaprint wao si watupe access tuwe tunaprint wenyewe.Ujui hata Dunia inaelekea wapi mjinga wewe .Bora ukae kimya ufiche upumbavu wako!!!
Kama una viongozi wa bovu kama wa Tanzania lazima ujivunieUnajivunia kusaidiwa?
Kwenu ni mjini magharibi, kuwa kwako Mbezi ndiyo kunakutoa kwenu Zanzibar?Nipo hapa mbezi beach muda huu huko mjini magharibi ni hisia zako za kibaguzi zinazokutuma uandike upuuzi huo.
Kama una viongozi wa bovu kama wa Tanzania lazima ujivunie
Mi ni strong sn familia yangu inakula vizuri sababu ya juhudi zanguHata wewe unaonekana ukiwa kiongozi utatugawia mabakuli tutawanyike tukaombe
Karibu mbezi beach, nyumbani kabisa Rulenge Ngara.Kwenu ni mjini magharibi, kuwa kwako Mbezi ndiyo kunakutoa kwenu Zanzibar?