Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Mmarekani kukemea mauaji imewakera sana machawa

Sisi mtu yeyote anaye ungana nasi kutetea Haki za binadamu tunamkaribisha
Africa Mashariki kwa ujumla tutawakemea wawakilishi wa nchi mbalimbali humu duniani wanaokiuka Sheria za kimataifa na ustaarabu wa kidipomasia...

mwanadiplomasia yeyote yule bila kujali anatoka wapi atakemewa, asiposkia, atakaripiwa, asipobadilika atapewa onyo kali, na asipojirekebishwa atafurushwa na kurejeshwa kwao bila mbambamba yoyote ile akaeleze vizuri alichotumwa 🐒
 
Unajua ni miaka mingapi ishapita tangia waanze hii misaada? Na imetufikisha wapi.
Misaada hii ilianza kwa ajili ya kuwasaidia Wazungu wenyewe. Na ina endelea kuwasaidia wao wenyewe na ajenda zao.

Malkia wa Uingereza aliwahi kutoa £20 kama mchango wake kwa misaada inayokuja Afrika, lakini uliza ilienda kumsaidia nani? Na bado alisema ametoa msaada🙌🏾

nonetheless

Fedha hizi ni nyingi sana kwa miaka mitatu $7.5billion? sidhani hata biashara baina ya nchi hizi mbili zinafikia huko. Zimefanya nini tangible?

Natamani nikafukue moyo wa Livingstone Ilala.
Hayo maswali waulize viongozi wako wanaopokea hiyo misaada.Ukipewa msaada au mkopo wewe ukaenda kuufuja usifanye cha maana kosa nila aliyekupa au wewe uliyepewa?.Au hujui matatizo ya viongozi wa Afrika tukupe mifano.
 
Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Kuongoza taifa ni akili wala sio hisia. Ukiweka hisia kwenye uwongozi wa Taifa unajiandalia kaburi lako binafsi maana presha itakuondoa
 
Hasira za Nini dogo
Mmarekani kakemea vitendo viovu vya samia vya kutekwa watu na kuwauwa

Ubaya wake Nini dogo
Ccm ndo Huwa wanashangilia wakipewa misaada, imekuwaje tena mnamchamba don wenu kisa kuwaambia mfuate haki za binadamu??
Mshamba mtoto nakupa ukweli , hunikuti kwa chochote hata kweny ukoo wenu hakuna wa kunikuta ...Mkitekwa mtapiga kelele kutafuta huruma 😀 😀 😀 ...Raisi kashasema kawaambie mabwana zako .....
 
"Viwanda" ndivyo viwe gharama ya maisha ya waTanzania? Hoja yako hapa inakushusha daraja. Kulalamikiwa uongozi/rais hakujawahi kufikia kiwango hiki na kwa mambo mengi mbalimbali kiasi hiki. Samia kashuka sana. Mbaya zaidi, badala ya kuelewa yanayo lalamikiwa, hotuba zake zinazidi kuchochea moto, akidhani kuvimba kwake ndiko kutatia watu hofu.

Ndiyo, Mmarekani anastahili kunyooshewa vidole kwa mengi yanayofanywa nje ya nchi hiyo; lakini hakuna kiongozi aliye thubutu kufanya ujinga ndani ya nchi hiyo akabaki salama kama hawa wa kwetu. Kwa hiyo, hawa wakikoromewa na huyo huyo Mmarekani, pamoja na ubaya wake unao julikana nje, raia wanaonyanyaswa na viongozi wao kama Samia ni lazima washangilie.

Kama umesoma Ukraine, halafu ukaandika yale uliyo andika kule mwanzo, inaonyesha hukujifunza vizuri uhusiano wao na Urusi/Marekani ulivyo geuka kuwa sasa hivi.
Leo asubuhi huku mbezi beach nikifanya jogging nimekutana na landrover tano zimejaa polisi zinashuka kutoka Maringo zinaelekea rainbow.

Mungu apishie mbali haya masuala ya siasa yamalizike kwa amani. Rais wa nchi sio malaika ni mtekelezaji wa ilani za uchaguzi na haimfanyi kufanana na kiumbe asiye na ubinadamu ndani yake.
 
Balozi atekwe Kwa kumkosoa Chura kiziwi.
Balozi kaambiwa ukweli na aufanyie kazi la sivyo jaramba litamkuta la kurudi home, akae akijua yeye siyo balozi wa kwanza kua Tanzania na hatakua balozi wa mwisho,watakuja wengi tu,wa muda mrefu au wa muda mfupi!!
 
Tz hatuna nguvu hii unayoionyesha hapa. Tusitake kuongopeana. Marekani hapaswi kweli kuingilia mambo ya nchi yoyote, lakini ili asiingilie unapaswa kuwa na nguvu. Sio Tanzania tu, Africa yote hakuna wa kumzuia kuingilia.

Nchi zenye nguvu tu wanashindwa kumzuia, ndio ije kuwa Tanzania
Mwana una fikra za kitumwa sana,na lazima riziki yako sasa hivi bila wazungu hupati,ndiyo maana umekua muwoga hadi unamruhusu mfadhili wa faida akupangie maisha! Wwe unazani kama Marekani angekua hafaidiki na chochote kile na Tanzania unazani ungemuona huku!!??
 
Viongozi wa kitaifa wanatakiwa watunze kauli zao, (public figures have to keep their words) and that any decision you make in life you are responsible for it, pia

Maamuzi yoyote utakayo yafanya maishani mwako utawajibika nayo
Amiri Jeshi Mkuu kesha ongea wwe nani upinge!!??
 
Mbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .

Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
Ujui hata Dunia inaelekea wapi mjinga wewe .Bora ukae kimya ufiche upumbavu wako!!!
 
Ujui hata Dunia inaelekea wapi mjinga wewe .Bora ukae kimya ufiche upumbavu wako!!!
Umekariri hamna unachojua 😀 😀 😀 ...Yaani dogo unajidanganya, jiulize tu pesa zetu wanaprint wao si watupe access tuwe tunaprint wenyewe.

Raisi kashasema sasa chukua hata maana unabwatuka kama mtoto wa kike.
 
Eti Msaada tu 😆😆😆

Naunga mkono Samia Must Go
 
Back
Top Bottom