Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Ongeza ndio alieleta deal la kucheza ile movie na Mr P
 


Balozi wa Marekani ana tatizo gani? Kwani kutoa misaada ndio kutuingilia mambo yetu ya ndani? Naamini within few months ataondolewa, tangia ile siku ameenda kumuona Sugu nilijua kabisa huyo balozi wa Marekani hapa Tz ni Chadema 100%, balozi gani kila siku anaingilia mambo ya ndani ya serikali..!!
 
Ataondolewa?

Endelea kusubiri meli airport
 
Umekalia msumari
 
Ataondolewa?

Endelea kusubiri meli airport

Kumbe hujui how diplomats wanaweza ondolewa/expelled katika nchi yoyote, Mkuu wa nchi akisema anataka huyo balozi abadilishwe anaondolewa haraka, kumbuka ni Mh. Rais ali accept barua yake ya kuwa balozi hapa nchini na barua ya balozi Mh. Rais akiikubali anaweza pia kuikataa kama anaenda kinyume na maadili ya diplomats, moja wapo ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi husika
 
Sio kuwa sijui. Najua sana.

Hoja yangu mnafanya hayo ili mpate nini? Unajua matokeo ya hicho watakachofanya?
 


Jamaa limemchana live.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…