Baltazar Engongo
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 604
- 932
Kushangaa marekani kuingilia siasa za ndani ni kukosa akili. Marekani hiyo ndio kaze yake kubwa, sio Tanzania tu bali kwa nchi nyingi duniani. Sijui Kama unahitai mifano au hujui kinachoendelea duniani sio sasa tu hata huko nyumaSbb balozi wa Marekani anaingilia siasa za ndani ya nchi ya Tanzania, umeelewa? That only is enough to expel him with immediate effect..!!
Ukweli mchungu sio Tz tu, nchi nyingi hazina uwezo wa kumzuia aisiingilie