Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Mama ana nguruma hadharani akitoka, anatuma wasaidizi wake wakimbie haraka balozini wakanyooshe maneno..... kuwa hakumaanisha alichokisema na ndio maana bado Chadema ipo kwenye payroll ya serikali ..kwakweli kwa uduchu wakodi zetu siku misaada ikikoma ni lazima tuite maji mma........
Ni kama Richard Nixon alipokwenda China.
Walipokuwa wapo ndani ya gari wanakuja kutoka airport anaona mabango kila pahali:"DOWN WITH AMERICA"
Chou El Lai akamwambia,:"Do not mind these posters. They are just for public consumption."
 
Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Pesa zote hizi zinatumika wapi!? Maana hatuoni hata nchi ikipiga hatua kimaendeleo. Na Kodi bado tunalipa. Utalii na madini ndio usiseme.
 
Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Sawa Battle.
 
Mbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .

Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
Hizi shule za kata tuliwaambia mapema mno kwamba hazina ubora mkatubishia.
 
Yeye Rais Samia azingatie maneno anayosema Balozi wa Marekani.
Lakini James Bond 007 hafuati sheria
Ni makosa kumwambia 007 James Bond afuate sheria.
 
"Wasitupangie cha kufanya" Nye Nye Nye!! Baniani mbaya kiatu chake dawa ,kiko wapi ,mi nilijua tu hatutoboi bila wazungu.
 
Sawa sio watu wema kwa kutupa msaada wa pesa!!! Je kukemea mauaji ya ndugu zetu?? Utekaji?

Nyie sijui *"('yjssy iisysny id jsysjtae*_-#>#?&>-#
Izshkjm.jddisdddulsusutsutsiysdhumd-$#@#/$$
Na sisi mbona balozi zetu hazikemei watu kupigwa risasi kila siku huko kwao ...Wasitishe hiyo misaada na nyie muende huko mkaishi
 
Mkuu tunafanya kazi lakini haiondoi ukweli Tanzania ni nchi maskini inayotegemea misaada ya wahisani kujikimu. Na wananchi wake wengi ni maskini pia....yote ni kutokana na sera mbovu za chama chenu
Marekani kuna maskini hiyo ndio ukweli ....North korea hata maisha ya huyo ulaya hawajui so hawana mda wa kubabaishwa na mtu ...Tunaweza kuamua tukaishi tunavyotaka kama unataka wazungu kaombe uraia wa huko .
 
Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Wewe jamaa umegeuka kibaraka wa mabeberu.
 
Back
Top Bottom