Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utampata we tulizana tu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulizanaaa wee!! Mie niko buzzy kumpata huyo Guy.
Anaelewaga sasa 😂😂😂😂😂Khaaaa! Kwahiyo unataka namba yake ya nini? Huoni kavaa pete ya ndoa
Sio Pete, hata hiyo ndoa yake siihitaji.[emoji23]Khaaaa! Kwahiyo unataka namba yake ya nini? Huoni kavaa pete ya ndoa
Shida gan? Kuna mtu nimemuona ktk hizo picha,Utampata we tulizana tu...
Mi pia nina shida ujue [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uchawa, haulipi humu.Hii ni baada ya balozi ya kuwa mnazi mkubwa wa nyuzi za hawa members wa JF; Etwege ChoiceVariable Magonjwa Mtambuka Lucas Mwashambwa MamaSamia2025 GENTAMYCINE na johnthebaptist ..
nioneshe namim sas jaman 😋😋
Hongera Balozi, lakini achana na Ukraine.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba leo tarehe 06/05/2024, Balozi wa Marekani Nchini Tanzania amefika kwenye ofisi ya JamiiForums, Dar es Salaam
Habari kamili hii hapa
View attachment 2982857View attachment 2982859View attachment 2982860
Sawa nnSaw kabisaa
Utafurahi nikipata bannioneshe namim sas jaman 😋😋
Acha tamaa...unawatamani had mods?Huyu Guy niliye mchora [emoji3590], km yupo humu kwenye uzi naomba anifate Pm,
Au modes mnipe mawasiliano yake huyu Guy.
SERIOUSLY!!!!!View attachment 2982795
watz mna insecurity za ajabu sana, kijana anaitwa omari mbuzi ? Babaake ni mbuzi?Mmmh? Lakini hilo jina Michael A. Battle! Hivi maana ya neno "Battle" kwa kiswahili si ni "vita?" Kwahiyo kaja kulianzisha vita
bas acha ntaumia sanaUtafurahi nikipata ban
Yakhe vimeombwa tuvisifie 😀😀.Mkuu mbon humueshimu moderator atakupg burn 😁😄