Balozi wa Marekani, Michael A. Battle atembelea ofisi za JamiiForums

Balozi wa Marekani, Michael A. Battle atembelea ofisi za JamiiForums

Dada wa pili kutoka kulia jirani na Mello una nusu ya moyo wangu nawish tungekua tumekaa sehemu flan tulivu nimebaki BMW yangu pembeni tunazungumza taratibu huku unanilalamikia na maswali kama mpaji utanioa kwel?

Sema maisha yalivo Mazafirdaus nipo huku nimevaa reflector na sururu yangu mkononi natengeneza Barbara zilizoharibiwa na mwanaharamu Hidaya
 
Kumbe huyu Jamaa (Balozi)naye ni miongoni mwa maGreti Thinka? Ila wote Wamependeza sana.
 
Akili kubwa, Bravo Melo! College mate! Harafu kuna, watu utawasikia wakisema elimu haina maana! Bora uishie la, saba! Mbona Mond ni la saba lakini ana mkwanja mrefu!

Hawa ndio wanaotakiwa nchini, wanatengeneza ukwasi, ajira, lakini wanasiasa, kama samia huwezi, kuwasikia wakiwapigia simu hadharani! Wanampigia "pastor" Kapola! Sasa, unajiuliza hawa MA pastor vijana, wanazalisha nini? Huduma au bidhaa! Nothing ni kulisha watu upepo na makelele tu! Kikubwa wanapiga mapicha picha wakiwa na pamba Kali, na mandinga! Wa kitu onyeshea jinsi walivyofanikiwa! So what!

Wenye pesa, dangote, nk huwezi, kuwaona wakipost magari yao, just for show tu! Ila wale janja janja! Shida tupu
 
1715086788225.png

Kwenye hiyo picha hapo nyuma ya Balozi na Mexence Melo Wabongo hawatakawia kusema Melo ni Freemason! Ahahahahaha!!
 
Hutu tu dada ndo huwa tunatubadilishia "heading"?!
Yaani binafsi huwa nakereka sana, maana vinapokubadilishia "heading", vinabadili maana ya "thread" yako kabisa
Pascal Mayalla
Ndio hutohuto mkuu, ukikutana na kadada ofisini kapo hivyo jiandae kwa vanga au bana kifua kuepuka hasira kwanza ndo uanze kukaongelesha.
 
Back
Top Bottom