Balozi wa Marekani, Michael A. Battle atembelea ofisi za JamiiForums

Kuna mod's 3 sijawaona hapo.
Ukute walibaki server room kutembeza ban.
Btw hongereni sana uongozi wa Jf, ni hatua nzuri sana.
Siku mkitaka na nyie kwenda huko kwao ubalozini, msituache wadau wenuπŸ₯΄
 
[emoji23]Khaaaa! Kwahiyo unataka namba yake ya nini? Huoni kavaa pete ya ndoa
Sio Pete, hata hiyo ndoa yake siihitaji.
Mie namtakaa yeye km yeyee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utampata we tulizana tu...
Mi pia nina shida ujue [emoji23][emoji23][emoji23]
Shida gan? Kuna mtu nimemuona ktk hizo picha,
Nikajisemea akimuona ubongo mbovu ameishaaaa,

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ili ofisi ipendeze jitahidi kuajiri mabinti wazuri .... Kauli ya boss wetu hii

Naona mkubwa mello anaitendea haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…