[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu kijana nikimpataaa, mbonaa atajuta kuchelewa kunifahamu.Unataka kumfanya nini kijana wa watu, na uhovyo wako? [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewaza kama mimi. Sema angalia katika threads za mwanzo kabisa wakati JF inaanzishwa Maxence Melo alifafanua kuhusu Freemason and IlluminatiView attachment 2983452
Kwenye hiyo picha hapo nyuma ya Balozi na Mexcence Melo Wabongo hawatakawia kusema Melo ni Freemason! Ahahahahaha!!
weya! weyaa! ado! ado! kama mtu vile... Nyoooo! [emoji2956][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu kijana nikimpataaa, mbonaa atajuta kuchelewa kunifahamu.
Ntampaa aste astee, ado ado, weya weyaa!!! Jamaniiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si nimpate huyo mkaka, awaletee mrejesho humu ndaniii.weya! weyaa! ado! ado! kama mtu vile... Nyoooo! [emoji2956][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia Balozi alimuuliza Maxence Melo huyu GENTAMYCINE ni nani mbona ana Uwasilishaji wa Kimitego, Kiuchokozi na wa Kimaarifa sana?Hii ni baada ya balozi ya kuwa mnazi mkubwa wa nyuzi za hawa members wa JF; Etwege ChoiceVariable Magonjwa Mtambuka Lucas Mwashambwa MamaSamia2025 GENTAMYCINE na johnthebaptist ..
Takupatia namba yake... Sharti usinitaje [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa si nimpate huyo mkaka, awaletee mrejesho humu ndaniii.
Hatakua na muda tena wa kupiga watu Ban, mda wote atakua buzzy na mie tyuuuh.
Ni Charismatic fella 🤣🤣Nasikia Balozi alimuuliza Maxence Melo huyu GENTAMYCINE ni nani mbona ana Uwasilishaji wa Kimitego, Kiuchokozi na wa Kimaarifa sana? Na kwa Roho za Watani zangu Wahaya nasikia Mtani wangu akamjibu huyu ni Popoma Mmoja hivi kutoka Musoma ila ipo Siku nitakuletea Ofisini Kwako umuone na ukimuona hutoamini kama ndiyo Yeye mwenye Visa vingi hapa JamiiForums.
Mkuu Burkinabe, naunga mkono hoja,kiukweli kabisa it’s not fair kubadili heading na ku change meaning. Mimi mwenyewe huwa natia team JF mara mojamoja.Hutu tu dada ndo huwa tunatubadilishia "heading"?!
Yaani binafsi huwa nakereka sana, maana vinapokubadilishia "heading", vinabadili maana ya "thread" yako kabisa
Pascal Mayalla
Sio rahisi tenaMelo nenepa sasa..