Mkuu umenifanya nicheke bila kupenda.Angeanza yule zingekua kelele siku nzima
In your entire life always try to think positive.Aonane na wagombea wote!!! Who is he in this country!?
For which reason by the way!?
Tuache siasa za kitumwa.
Uchaguzi wetu ni uchaguzi wao na uchaguzi wao ni uchaguzi wetu.Amgefocus kwenye uchaguzi wao tu
How can I be positive on this matter!?In your entire life always try to think positive.
Yule bwana haendi kwasababu course yake pale kwa Rasi simba aliambiwa lazima akazaliwe upya ulayaKumbe ni mmoja mmoja, that's fine, nilianza kuimagine hapa Lissu, pale bwana yule mbona kusingekalika.
Let's meet at the top, cheers 🍻
Wanazuga tu, wanalo jambo lao na TAL. Ni suala na muda tu.Angeanza yule zingekua kelele siku nzima