Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Usipambanie jambo lisilo kichwa wala MIGUU... leo hata maisha ya Kawaida mtu akioa anatakiwa kubehave tofauti, mtu akiwa mzazi mbele ya watoto kuna mambo hawezi kuyafanya vivyo hivyo kwake kwa nafasi yake!!!!!

Mbona jambo jepesi KUELEWA SHIDA NINI???? Leo ukitumikia nafasi flan za utumishi wa umma huwezi kuonesha itikadi yako ya kisiasa kindakindaki kama kuvaa sare za chama na mfano wake!!!!

Ndiyo maana MLETA MADA AMEAFANUA VIZURI BALOZI WETU mambo anayoyafanya hayaendani na nafasi yake.....
Na sikumtaja kwa jina bali kwa cheo chake.. Nilichogundua hapa wengi hawaelewi nini maana ya kuwa kiongozi hasa kwenye nafasi nyeti kama ya balozi
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Hii ni 21 st century bro!hizi. Ni zama Internet,social platform,AL,internet of things,Apps,ukianza kufikiri kama wazee wa enzi za Mwalimu,na kuangalia mambo kupitia macho ya watu walioishi miaka 80!wakati hakuna hata mobile phone,utakuwa unachemka,
Watu wanaoona Pole pole kakosea ni wale wenye 45+chini ya hapo alichokifanya ni chakawaida kabisa,
Don't overthink these things,yaangalie haya mambo kwa macho ya vijana wenye 16+ndio utaelewa hii Dunia ya leo.
Dunia ya leo,Binti yako mwenye 16+anaweza kuja chumbani kwako,amevaa kikaptura aka Kaa kitandani anaomba hela ya kununulia smasung galaxy!!zamani hii ilikuwa uchuro!!!
 
Acha utoto na punguza wivu, pia usijikute u mkalifu
Naamini wewe nybom ni mtu mzima. Nafahamuvyo, uonhozi una maadili na ukiwa kiongozi lazima ufuate maadili. Sio sahihi kwa kiongozi kunengua, kujirekodi na kutuma video mtandaoni. Zamani kulikuwa na kumbi, Mabwalo au mess za viongozi. Humo watakaa wao, lewa na cheza muziki wao na sio kuingiliana na jamii.

Kwahili, polepole amepotoka. Sasa ni mwakilishi wa nchi. Yeye ni taswira ya Tanzania. Midhaa na kucheza cheza/kucheka cheka anamaanisha ni watanzania tupo hivyo.
 
Hii ni 21 st century bro!hizi. Ni zama Internet,social platform,AL,internet of things,Apps,ukianza kufikiri kama wazee wa enzi za Mwalimu,na kuangalia mambo kupitia macho ya watu walioishi miaka 80!wakati hakuna hata mobile phone,utakuwa unachemka,
Watu wanaoona Pole pole kakosea ni wale wenye 45+chini ya hapo alichokifanya ni chakawaida kabisa,
Don't overthink these things,yaangalie haya mambo kwa macho ya vijana wenye 16+ndio utaelewa hii Dunia ya leo.
Dunia ya leo,Binti yako mwenye 16+anaweza kuja chumbani kwako,amevaa kikaptura aka Kaa kitandani anaomba hela ya kununulia smasung galaxy!!zamani hii ilikuwa uchuro!!!
Wacha weeeee, hakuna 21st century bila maadili bwana mdogo. Pia naona umeshindwa kutofautisha kati ya Polepole na Balozi. Anayeongelewa hapa sio Polepole ila ni balozi. Kiongozi anatakiwa awe na maadili kama kiongozi. Ushawishi ona hao wenye 21st century wenyewe wanafanya hivyo? Ushawahi mzima Balozi wa USA nchini Urusi au Afghanistan anafanya hivyo bwana mdogo?
 
Wacha weeeee, hakuna 21st century bila maadili bwana mdogo. Pia naona umeshindwa kutofautisha kati ya Polepole na Balozi. Anayeongelewa hapa sio Polepole ila ni balozi. Kiongozi anatakiwa awe na maadili kama kiongozi. Ushawishi ona hao wenye 21st century wenyewe wanafanya hivyo? Ushawahi mzima Balozi wa USA nchini Urusi au Afghanistan anafanya hivyo bwana mdogo?
Huyu hapa balozi wa USA tz akiself na mahindi barabarani.
images%20(4).jpg
 
Polepole ana ushamba na ubwege
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Ana
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Kwani ukiwa Balozi hutuhusiwi kufurahi au kucheza mbona
 
Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.
Nahisi wewe no follower wake, sababu ulizoainisha za kumuzuia kuingia mitandaoni bado hazitoshi, boresha kidogo
 
Kwanza kujirekodi ni tabia za mademu, haijarishi ni balozi au bodaboda.

Kuna kikundi kinamtetea kwa nguvu zote hapa.. [emoji23] ama kweli ndege wafanano huruka pamoja..
Hata kufungua nyuzi kuhusu maisha binafsi ya wanaume ni tabia za mademu.
 
Kuna hali mbili au tatu kwenye makuzi
Kukua kimwili
Kukua kiakili
Kukua kimwili na kiakili
Kuna kukua kiroho pia lakini huku huambata na akili, huwezi kukua kiroho huku akili ikiwa ni ya kitoto

Makuzi ya kawaida ni kuwa na uwiano sawa wa kukua kimwili na kiakili.. Hapa kimwili namaanisha kiumri. Unaposikia fulani ana mambo ya kitoto tambua huyo umri umeenda lakini matendo yake kiakili ni sawa na ya mtoto wa umri fulani.

Ama ukisikia ana mambo ya kikubwa yaani umrí ni mdogo lakini anayofanya yalipaswa kufanywa na mtu wa umri fulani kumzidi

Kuna shida kubwa huko kwenye vetting ya viongozi mbalimbali huko chama chawala, hasa viongozi hawa wa kisiasa. Wengi hawateuliwi kutokana na weledi maarifa, ujuzi na umahiri bali huteuliwa kama asante ama kwa sababu fulani isiyo na tija kwa taifa

Nafasi zinazolalamikiwa sana kwa sasa ni nafasi za uwakilishi wa nchi mbalimbali cheo cha balozi. Wateuliwa wengi hawajui ukubwa, umuhimu na weledi wa hii nafasi.. Wengi wao wanadhani balozi wa nchi ni sawa na balozi wa nyumba kumi

Balozi ni mwakilishi wa nchi pale alipo.. Ana mamlaka kamili na makubwa ya kusimama badala ya mkuu wa nchi..hivyo matendo yake, lugha yake, life style yake ni lazima iendane na nafasi anayoshikilia

Balozi mteule unaposhinda mitandaoni na kufanya vituko wanavyofanya wadogo zetu huko mitandaoni ni wazi kabisa huyo anakuwa hajitambui ama kakua kiumri na kimwili lakini sio kiakili.

Enzi za mwalimu kufanya vituko kama hivi ni automatically umejivua cheo husika hata kabla Mwalimu hajasema
Hebu ona hiki anachofanya huyu barozi wa walawi hapa!

View attachment 2231544
Kina obama, Trump, january makamba, kigwangala, mnyika, fatma karume, Boris johnson n.k wanakesha huko twita pia,. Binafsi sioni shifa yoyote kama majukumu yao wanayatekeleza ipasavyo hiyo ni personal life yao

Dunia siku hizi ipo huko muache awe huko unless mna matatizo binafsi, vizuri kujadili personal issues
 
Usipambanie jambo lisilo kichwa wala MIGUU... leo hata maisha ya Kawaida mtu akioa anatakiwa kubehave tofauti, mtu akiwa mzazi mbele ya watoto kuna mambo hawezi kuyafanya vivyo hivyo kwake kwa nafasi yake!!!!!

Mbona jambo jepesi KUELEWA SHIDA NINI???? Leo ukitumikia nafasi flan za utumishi wa umma huwezi kuonesha itikadi yako ya kisiasa kindakindaki kama kuvaa sare za chama na mfano wake!!!!

Ndiyo maana MLETA MADA AMEAFANUA VIZURI BALOZI WETU mambo anayoyafanya hayaendani na nafasi yake.....
Kwani kuna kosa gani umeliona hapo?...
Mnataka viongozi wanaovaa suti huku wakiigiza wema kumbe wahuni tu.

Mmezoea kuishi kimaigizo ndio maana mmeumia kwa alichofanya Humphrey.
 
Back
Top Bottom