Balozi wa Tanzania nchini Namibia (Kipilimba): Rais Magufuli yuko mzima anachapa kazi

Balozi wa Tanzania nchini Namibia (Kipilimba): Rais Magufuli yuko mzima anachapa kazi

Mungu atamuinua Magu kama ni kweli anaumwa ili maadui wake waaibike kama kipindi cha nyuma

We naee!! Kwani akiwa anaumwa ni udhaifu? Mbona hakuna mtu ambaye hakuwahi kutoumwa? Acheni sarakasi - kama anasemwa kuumwa, si jambo baya. Baya ni kama anasingiziwa. Unadhani wanaoumwa Mungu amewaacha? Acheni dhihaka kwa Mungu huyu.
 
Mungu atamuinua Magu kama ni kweli anaumwa i
Ndicho kinachosemwa kuwa anaumwa sasa kuliko watu waendeelee kusema angesema naumwa sasa wewe unatafuta imaginary enemies wa nini?
 
Hivi anayesema kwamba RAIS wetu anaumwa na ANAYESEMA kwamba haumwi, na wote hawajaweka ushahidi, HIVI HAO HAWAFANANI!? KWAMBA WOTE WANAENEZA RUMORS ..!?

Kifupi wote ni wale wale tu
 
Back
Top Bottom