imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mambo mazito kwelikweliKazi ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mazito kwelikweliKazi ipo
Mkuu fafanua kidogo msiba upi??
Kwani yule si alikua ameshahamishiwa Mara?
Anapigwa na bumbuwazi anafikiri mtemi atafufuka kuja kumtumbuaUkimuona Dr Abbas, msemaji wa serikali amekaa kimya bila kujibu hoja hii, kuna jambo
Mkuu hii habari ni kweli?Mbona kama naota?Kazi ipo
Msamehe bure. Alikuwa anapiga nyeto akili imebaki hukohuko.Namibia imekuwa Msumbiji tena?
Kama vile mkulu ni immortalUzushi huu unao endelea nisawa na tabia ya "Fisi"mwenye tamaa ambaye anafuatilia kwa nyuma "mkono" wa binaadamu anaye tembea...fisi akidhani kuwa mkono utadondoka chini kisha autafune.
Uzushi huu unao endelea nisawa na tabia ya "Fisi"mwenye tamaa ambaye anafuatilia kwa nyuma "mkono" wa binaadamu anaye tembea...fisi akidhani kuwa mkono utadondoka chini kisha autafune.
Tumia lau hata akili kidogo kufikiri.Alipopigwa risasi Lissu CCM walifurahi sana acha na sisi tufurahi mbona fresh kabisa
Aliyeuliza Rais yuko wapi - si yuko nje ya nchi pia!
Wangazija siasa za ubabe hawaziweziHivi sasa Mataga wameanza kumwona mama wa watu kama mpinzani vile.... Yani wanaanza kumwona kama Lissu.... sijui kwanini
Hivi huyu Kipilimba kumbe yuko huko Msumbiji,ndio maana machafuko hayaishi kule calbodelgado
Na amewajibu kwa dharau kama walivyomwuliza kwa kejeli.Good question. Ama wangemuuliza Msigwa. Umbea tu
Tunacho kikemea hapa ni uzushi, unapata wapi haki ya kuzungumza kitu ambacho huna uthibitisho, si bora ukae kimya tu, maaana hakuna kificho.Kama vile mkulu ni immortal
Unadhani Document yenye sensitive content kama hii inavujaje kirahisi hivyo? Ni sawa na kukutana na sahani ya wali na kuku jangwani na glasi ya maji ya kunywa.Kazi ipo
Namibia ndio msumbiji? Hii nchi bana, na hapo unaweza kuta ni graduateHivi huyu Kipilimba kumbe yuko huko Msumbiji,ndio maana machafuko hayaishi kule calbodelgado
Ila mnyika akiongelea ni sawa?Yaani nchi inaongozwa na matapeli tuu. Huyu Kipilimba ana ongelea issue ya rais kwa mamlaka gani aliyo nayo? Failed State. Feeding us rubbishes..
Unakubalina na rumours za J. Biden kuwa ni 'unfit' kujibu maswali ya wahandishi wa habari ya papo kwa papo!? Na hii unaweza kujinasibu kuwa wamarekani wanaojihusisha na mambo ya ikulu ya marekani watapata aibu siku za usoni! ?Ni aibu rumour mill to involve mtu anaeitwa "rais",kwanza that on itself ni AIBU!