mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,379
- 1,276
Ndio, lakini yeye anaonekana, aliye nyumbani na mwenye majukumu ya kuendesha nchi haonekani wiki tatu sasa. Hata kwenye ibada zake za siasa za kila jumapili ameshindwa kufika, na kuna chance kubwa jumapili hii pia hatakuwepo.Aliyeuliza Rais yuko wapi - si yuko nje ya nchi pia!