nduza
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,595
- 2,503
Mambo hayo ya siri yamefanyika awamu hii tu?Kama hujui nyamaza. Trilion 1.5 hazikwenda mifukoni mwa Magufuli. Serikali inajua ilifanyia nini. Kuna vitu vingine siyo lazima uambiwe. Nchi yoyote ina mambo yake ya siri.