Naona umeaibika sasa kama mwaka jana!Imepiga kibiriti moyo a proper beating.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeaibika sasa kama mwaka jana!Imepiga kibiriti moyo a proper beating.
Time will tellUnadhani Document yenye sensitive content kama hii inavujaje kirahisi hivyo? Ni sawa na kukutana na sahani ya wali na kuku jangwani na glasi ya maji ya kunywa.
Endelea kuhisi tu mkuu!!Hili swala linatakiwa kuongelewa aidha na kurugenzi ya mawasiliano ya rais au makamu wa rais (msaidizi no. 1 wa rais). Wajue wasije wakalinganisha hii na ile ya kipindi kile (2015) ya CDF Mwamunyange kutoonekana hadharani. Ukiangalia hata maelezo aliyotoa Majaliwa leo utahisi mambo sio poa!
Tuone hiyo kesho aonekaneTunacho kikemea hapa ni uzushi, unapata wapi haki ya kuzungumza kitu ambacho huna uthibitisho, si bora ukae kimya tu, maaana hakuna kificho.
Rais kama binaadamu wengine inawezekana kabisa ameumwa mara nyingi tu ni sio lazima mara zote tumetangaziwa/tumefahamu na sio lazima.
sasa kesho ukimuona akizindua au kutembelea mahali utasemaje?!
Naona mmepata aibu kubwa! Muulizeni Balozi Lissu awape update za India/ChinaUvumi umeachwa mpaka umejithibitisha kuwa uko karibu na ukweli
Kwani ni lazima aonekane? Si mmeshaambiwa na Balozi Lissu kuwa yuko India/China? Au hamwamini Balozi Lissu??Tuone hiyo kesho aonekane
IQ yako hafifu sikujibuNaona mmepata aibu kubwa! Muulizeni Balozi Lissu awape update za India/China
Kwani Balozi Lissu ameacha kutoa updates?IQ yako hafifu sikujibu
Kimeyeyuka chuma 😀😃😂😂😂😂😂😅Yani chuma hakijulikani kllipo wewe unavheka! 😀😀
Si nimeambia kuwa ni uzushi , sasa tuone hiyo kesho akanusheKwani ni lazima aonekane? Si mmeshaambiwa na Balozi Lissu kuwa yuko India/China? Au hamwamini Balozi Lissu??
Waziri Mkuu ameshakanusha leo.Si nimeambia kuwa ni uzushi , sasa tuone hiyo kesho akanushe
Swala lipi!??? Issue mmeikuza wenyewe, mlitafune wenyewe na kulimeza wenyewe.Hili swala linatakiwa kuongelewa aidha na kurugenzi ya mawasiliano ya rais au makamu wa rais (msaidizi no. 1 wa rais). Wajue wasije wakalinganisha hii na ile ya kipindi kile (2015) ya CDF Mwamunyange kutoonekana hadharani. Ukiangalia hata maelezo aliyotoa Majaliwa leo utahisi mambo sio poa!
Waziri Mkuu ndiye Jiwe??Waziri Mkuu ameshakanusha leo.
Waziri Mkuu ndiye Jiwe??
Zawadi yako hii
Dada tulia usije kufa na kifafa bureEndelea kuamini huo utopolo!!
Dah angalau moyo wangu umetulia kiasi Bwashee, Vipi hapo kanisani hawajampa mike atusalimie kidogo,tusikie mipasho yake.Tupo hapa Kanisani mida hii kwa ibada ya njia ya msalaba!
Nataka nije nikuchumbie dada!Dada tulia usije kufa na kifafa bure
Ni ofisa usalama aliyepelekwa kikazi nadhani huko msumbiji. Hivi nani msemaji wa rais, w mkuu ama mabarozi au ma rc ?Hivi huyu Kipilimba kumbe yuko huko Msumbiji, ndio maana machafuko hayaishi kule calbodelgado.