Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sababu za wewe kutushukuru sisi ambao unatupa taarifa ni zipiBalozi wa Tanzania Nchini Uturuki anaitwa Luten General Yacoub Mohamed
.
Asanteni Sana Wakuu [emoji109][emoji109]View attachment 2254455
Duh, umri sio kitu, anaweza ongezewa, sio wa kwanzaAsante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
Tujuze umri wake ili tumuingize kwenye mchakato, angalau tumpate naniliu wa pili wa kutoka pande zile baada ya Abdalah!.
P
Unafahamu umri wa hawa wakubwa kustaafu?anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
... badala ya kwenda kupiganisha vita anakula viyoyozi na pizza Ulaya! Sijui kwanini hii nchi haiheshimu profesheni za watu.
Huyo mabele si ni lake zone line(Mara)na nyie mshasema hamtaki kusikia mlake zone yeyote anapata uteuzi kwenye serikali yenu ya awamu ya sita?Hakuna lolote hapo...umri ushampita, labda Mabele na CS wa sasa.
Mkuu JokaKuu, duh...!. Baada ya Mwamunyange kufikia retirement age, Blaza akamgomea kwa hoja ya hakuna replacement muafaka, hivyo akaongezwa muda ili grooming ifanywe, the usual grooming ni kwa young juniors into seniors, kama umri uliishasonga vile?!, that means, inawezekana zile tuhuma za nepotism ni kweli na labda kuna kaji nepotism kadogo hapo kali play a role!. That being the case, hakuna ubaya na tukapata CDF kutoka upande wa pili, Mama has the right to have someone she can be very comfortable with. Enzi za Mwalimu, hawa jamaa walitoka Mara, CinC alipotoka Usukumani, CDF akawa Msukuma!, hivyo sasa maadam CinC ni kutoka Zanzibar, hakuna ubaya wowote tukawa na CDF kutoka Zanzibar as long as ana sifa stahiki na anakidhi vigezo vyote!...hayo unayosema sio lazima.
..Mabeyo ni wa mwaka 1956 lakini aliteuliwa 2016/17.
..tena alikuwa anampokea mstaafu Mwamunyange ambaye ni wa mwaka 1959.
Nimetoka kwenye reli vipi?. Inamaa ... naomba nisimalizie ili ...Pascal kuna wakati hua unatoka kabisa kwenye reli,sijui kwa nini! Mabeyo wakati anakuwa CDF alikua above 54! Alikua na 60 kabisa huko
Jf yasikuhizi sijui imevamiwa , ukirudia kusoma nilichoandika nikuwa Hawa mabalozi duniani kote asilimia kubwa ni makachero Sasa polepole Yuko kwenye kundi la asilimia ndogo(pengine wasio makachero)(refer asilimia kubwa hua .....polepole hatujui Yuko kwenye asilimia kubwa au ndogo ya wanadiplomasia haoKumbe balozi wa Malawi Polepole naye ni kachero.
Cha kuongeza,huyu bwana ni mzanzibar.Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki anaitwa Luten General Yacoub Mohamed
.
Asanteni Sana Wakuu [emoji109][emoji109]View attachment 2254455
Kuna Mambo mawili hapaPascal kuna wakati hua unatoka kabisa kwenye reli,sijui kwa nini! Mabeyo wakati anakuwa CDF alikua above 54! Alikua na 60 kabisa huko
Rais muhehe hawezi pendekeza mlugulu ndio kweliMkuu JokaKuu, duh...!. Baada ya Mwamunyange kufikia retirement age, Blaza akamgomea kwa hoja ya hakuna replacement muafaka, hivyo akaongezwa muda ili grooming ifanywe, the usual grooming ni kwa young juniors into seniors, kama umri uliishasonga vile?!, that means, inawezekana zile tuhuma za nepotism ni kweli na labda kuna kaji nepotism kadogo hapo kali play a role!. That being the case, hakuna ubaya na tukapata CDF kutoka upande wa pili, Mama has the right to have someone she can be very comfortable with. Enzi za Mwalimu, hawa jamaa walitoka Mara, CinC alipotoka Usukumani, CDF akawa Msukuma!, hivyo sasa maadam CinC ni kutoka Zanzibar, hakuna ubaya wowote tukawa na CDF kutoka Zanzibar as long as ana sifa stahiki na anakidhi vigezo vyote!.
P
Huyu ndiye ambaye alishauriwa ajifunze kucheza mchezo wa GolfBalozi wa Tanzania Nchini Uturuki anaitwa Luten General Yacoub Mohamed
.
Asanteni Sana Wakuu [emoji109][emoji109]View attachment 2254455
Kwani Tz Kuna Vita ?... badala ya kwenda kupiganisha vita anakula viyoyozi na pizza Ulaya! Sijui kwanini hii nchi haiheshimu profesheni za watu.
Kwao kuondoa ni mrangiMaza anamjengea CV usijeshangaa, ngoja uone na kama ana asili ya visiwani basi "imeisha hiyoo" alisikika Kidagaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
Tujuze umri wake ili tumuingize kwenye mchakato, angalau tumpate naniliu wa pili wa kutoka pande zile baada ya Abdalah!.
P