residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Labda kachero wa kutafuta aina ya p.pa za Nyasaland.Kumbe balozi wa Malawi Polepole naye ni kachero.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kachero wa kutafuta aina ya p.pa za Nyasaland.Kumbe balozi wa Malawi Polepole naye ni kachero.
Mabeyo alivyoongoza JWTZ kama CDF ni tofauti alivyoongoza akiwa CoS. Alikuwa ni Mtu wa mabavu na nguvu nyingi hata nami sikutegemea kama atakuwa CDF kabisa ni jambo la busara uzee ulimfunza alipoteuliwa kuwa CDF akaongoza kwa busara hadi leo amestaafu . Heko Mabeyo, ustaafu mwema👏Kuna Mambo mawili hapa
1---mahtaji ya jeshi (huandaa watu watano na majina yao hukabidhiwa kwa rais )yeyote atakayeteuliwa pale Basi hakuna shida Hawa wanakua na umri hitajika
2----mahtaji ya amiri jeshi mkuu
Anaweza asiteue wote Kati yawale letwa na jeshi lenyewe liliowafanyia vetting
Nahapa ndipo alipodondokea mabeyo hakuwaga kwenye list ya top five
Note; awamu yatano magufuli alikataa majina matano aliyoletewa kwasababu zake akapoint mtu nje ya barabara ndohuyu Leo anastaafu
Kwa katiba yetu eneo Hilo usiangalie umri tunza afya yako na utiifu
Kiitikio; kushoto kulia
Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki anaitwa Luten General Yacoub Mohamed
.
Asanteni Sana Wakuu [emoji109][emoji109]
View attachment 2254455
Hivi Dr Slaa aliteuliwa akiwa na umri gani ?Asante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
Tujuze umri wake ili tumuingize kwenye mchakato, angalau tumpate naniliu wa pili wa kutoka pande zile baada ya Abdalah!.
P
Duh !!..hayo unayosema sio lazima.
..Mabeyo ni wa mwaka 1956 lakini aliteuliwa 2016/17.
..tena alikuwa anampokea mstaafu Mwamunyange ambaye ni wa mwaka 1959.
Yakubu ni rika moja na Makongoro Nyerere wakitofautiana mwaka mmoja au miwili hivi, yaani Makongoro ni mkubwa kwa umri. Kwa kupitia hiro refeyence ni wazi kuwa huenda Yakubu ana miaka kati ya 57 na 60 hivi.Asante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
Tujuze umri wake ili tumuingize kwenye mchakato, angalau tumpate naniliu wa pili wa kutoka pande zile baada ya Abdalah!.
P
Kuna kosa katika kuripoti umri wa Mabeyo, hakuzaliwa 1956 kwa vile kustaafu jeshini siyo jambo la hiari; huwa anaweza kuongezewa mwaka mmoja au miwili lakini siyo extension ya miaka mingi hivyo. Inawezekana alizaliwa 1965 au 1966 lakini ikaandikwa kuwa 1956...hayo unayosema sio lazima.
..Mabeyo ni wa mwaka 1956 lakini aliteuliwa 2016/17.
..tena alikuwa anampokea mstaafu Mwamunyange ambaye ni wa mwaka 1959.
Hivi hiyo ipo kikatiba kumbe? Kuhusu umri?Asante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
Tujuze umri wake ili tumuingize kwenye mchakato, angalau tumpate naniliu wa pili wa kutoka pande zile baada ya Abdalah!.
P
Kwani kachero ana alama kwenye paji la uso? Hata polepole anaweza kiwa ni kachero. Yale anayo display kwa umma huwenda ni kazi ya ukachero piaJf yasikuhizi sijui imevamiwa , ukirudia kusoma nilichoandika nikuwa Hawa mabalozi duniani kote asilimia kubwa ni makachero Sasa polepole Yuko kwenye kundi la asilimia ndogo(pengine wasio makachero)(refer asilimia kubwa hua .....polepole hatujui Yuko kwenye asilimia kubwa au ndogo ya wanadiplomasia hao
Binafsi pia nilimfahamia kwenye michakato wakatiba na pili channel ten akibishana na mchungaji msigwa kuhusu wagombea wa urais ,polepole alikua akimtetea magufuli
Yaani ni kama zimetundikwa tuAliyemshonea hizo pamba hajamtendea haki
Kuna kosa katika kuripoti umri wa Mabeyo, hakuzaliwa 1956 kwa vile kustaafu jeshini siyo jambo la hiari; huwa anaweza kuongezewa mwaka mmoja au miwili lakini siyo extension ya miaka mingi hivyo. Inawezekana alizaliwa 1965 au 1966 lakini ikaandikwa kuwa 1956.
Bado nina mashaka (sina uhakika) na katika ripoti mwaka wake wa kuzaliwa kwa sababu jeshini huwa hawaweki mtu aliyekwisha zeeka, akifikia umri fulani tu, inabidi astaafu kwa heshima zote za kijeshi. Akibaki huwa ni kwa amri ya rais na huwa ni mwaka mmoja au mwili tu ya extension, na hutangazwa kuwa ameongezewa muda wa utumishi jeshini. Kwa yeye kujiunga na jeshi mwaka 1979 ni karibu sawa na Makongoro Nyerere aliyejiunga mwaka 1980 au General Yakubu Mohammed aliyejiunga mwaka 1981 baada ya kumaliza form 6, kwa hiyo umri wake utakuwa katika range yao pia...ngoja nikubaliane na wewe kuwa Mabeyo hakuzaliwa 1956, amezaliwa 1965.
..sasa imeripotiwa kuwa amejiunga na jeshi mwaka 1979.
..maana yake alijiunga na jeshi akiwa na miaka 14.
..au labda hiyo 1979 nayo wamekosea, tufanye alijiunga 1997.
..maana yake alijiunga na jeshi akiwa na miaka 32, na amechimumpa vyeo mpaka kuwa Jenerali na Cdf.
Cc Mr Q
Umesema CDF awe below 54! Nikasema mbona Mabeyo kapata u CDF above 54??Nimetoka kwenye reli vipi?. Inamaa ... naomba nisimalizie ili ...
P
You nailed it!Kuna Mambo mawili hapa
1---mahtaji ya jeshi (huandaa watu watano na majina yao hukabidhiwa kwa rais )yeyote atakayeteuliwa pale Basi hakuna shida Hawa wanakua na umri hitajika
2----mahtaji ya amiri jeshi mkuu
Anaweza asiteue wote Kati yawale letwa na jeshi lenyewe liliowafanyia vetting
Nahapa ndipo alipodondokea mabeyo hakuwaga kwenye list ya top five
Note; awamu yatano magufuli alikataa majina matano aliyoletewa kwasababu zake akapoint mtu nje ya barabara ndohuyu Leo anastaafu
Kwa katiba yetu eneo Hilo usiangalie umri tunza afya yako na utiifu
Kiitikio; kushoto kulia
Wapo watu ambao huwa wanaona hii dunia ndio kila kitu ! Na wapo watu wengine wanaona hapa duniani tunapita tu !!Mwamba yuko na vyeo lakini Wala hajavimba kakaa kinyoge tu,
lakini huku ofisini kwetu unakuta boss fala kicheo kidogo tu lakini huo mvimbo wake Sasa.
Aksante sana mkuu, umri sijafanya utafiti, nahisi anaweza kuwa kabakiza mitatu kufikia 60.Asante kwa taarifa ya utambulisho wa balozi huyu, najua lengo la utambulisho huu, swali ni jee umri wake unaruhusu? ili aweze ... , anapaswa kuwa less than 54, ili aweze kuhudumu kwa miaka 5 kabla ya retirement age.
Tujuze umri wake ili tumuingize kwenye mchakato, angalau tumpate naniliu wa pili wa kutoka pande zile baada ya Abdalah!.
P
Lake zone !!Huyo mabele si ni lake zone line(Mara)na nyie mshasema hamtaki kusikia mlake zone yeyote anapata uteuzi kwenye serikali yenu ya awamu ya sita?