Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania akutana na Joseph Mbilinyi ili kumpa pole kwa kipigo cha Polisi jijini Mbeya

Wapeleke huko ushoga wao huko. Tutapinga kwa nguvu zote uingiliaji kisiasa wa wamagharibi mambo yetu ya ndani. Uleberali wao hadi kuoana jinsia moja hatutaki. Yote hayo ni kutaka kutupumbaza na mambo ya kijinga na yasiyokua na maadili wakati wao wakishikilia uhuru na uchumi wetu.
 
Samia ni shetani
 
Mambo yenu ya ndani ni kuuwa watu?
 
mtu alopigwa amenawiri hivyo? namie wakanipige walahi, ila wazenj bwana anaweza kukupiga na ufagio wa buibui akajua amekuua
Mtoto wa kiume unaomba kupigwa mpaka unawiri, salaleeeeh😜
 
Ngoja na mimi ntaenda kumtembelea mwanangu sugu
kumpa pole,kikubwa sms yangu ashaipata na amenijibu
pole sana sugu kwa tunaokujuwa
we ni mwanaharakati kitambo

Ova
 
Nani anampenda mwafrika au mwarabu 😄

Ova

Mapenzi hakuna, Waafrika na Waarabu wenyewe wengi ni wanafik tu.

Dunia ya leo wengi ni maslahi binafsi tu, wenye upendo wa dhati usio na maslahi ni wale wenye kuufata Uislam inavyotakiwa.
 
Hao ufaransa na Marekani si juzi tu walikuwa wanapiga mabomu waandamanaji wao au?
Kizimkazi wa mchambawima ajitathimini sana uongozi wake.maana mataifa ya kizalendo kama marekani na ufaransa yamechukizwa na utawala wake wa kidhalimu unaokandamiza wapinzani.Ipo siku yatamshughulikia Kwa vitendo vyake viovu dhidi ya wapinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…