FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Nineishu na wazungu kwa muda mrefu sana, nawajua zaidi ya unavyofikiria wewe.Ficha ujinga wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nineishu na wazungu kwa muda mrefu sana, nawajua zaidi ya unavyofikiria wewe.Ficha ujinga wako.
Unaweza kuta una maisha magumu kichoko sema siri yako na si kosa lako kosa la ccm kukufanya kua mjingaWanakuitaa suguuu nanii!!
Rungu moja tuh usugu wote kwisha kila siku nikutembelewa tuh hata kutembea haezi tena
Tii Sheria bila shuruti
Wapeleke huko ushoga wao huko. Tutapinga kwa nguvu zote uingiliaji kisiasa wa wamagharibi mambo yetu ya ndani. Uleberali wao hadi kuoana jinsia moja hatutaki. Yote hayo ni kutaka kutupumbaza na mambo ya kijinga na yasiyokua na maadili wakati wao wakishikilia uhuru na uchumi wetu.Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji.
Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)
Soma Pia:
Mungu wabariki Wazungu
Samia ni shetaniKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba leo, Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, amefika Mahali alipojihifadhi Bwana Joseph Mbilinyi, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ili kumpa pole na kumjulia hali kutokana na kipigo cha kutisha alichopewa na Polisi walioelekezwa kufanya hivyo na Awadh Haji.
Taarifa zinaeleza kwamba Wawili hao wamefanya mazungumzo Marefu. (Hakuna taarifa zaidi)
Soma Pia:
Mungu wabariki Wazungu
MamamakoWanakuitaa suguuu nanii!!
Rungu moja tuh usugu wote kwisha kila siku nikutembelewa tuh hata kutembea haezi tena
Tii Sheria bila shuruti
Awadh ni mrangi au mpemba?Awadh ameupiga mwingi sana Samia asipompa u IGP atakuwa amemuonea sana.
Mambo yenu ya ndani ni kuuwa watu?Wapeleke huko ushoga wao huko. Tutapinga kwa nguvu zote uingiliaji kisiasa wa wamagharibi mambo yetu ya ndani. Uleberali wao hadi kuoana jinsia moja hatutaki. Yote hayo ni kutaka kutupumbaza na mambo ya kijinga na yasiyokua na maadili wakati wao wakishikilia uhuru na uchumi wetu.
Wewe muuaji Makamba , Makanda amerudi tena Mzima!Mambo yenu ya ndani ni kuuwa watu?
Huyo hana maandiko yoyote ya maana ukiona ameandika cha maana basi ujue ni mtu atakua ametumia simu yake.Kuna baadhi ya maandiko yako huwa yana busara lkn mengine ni kama ya kuazimwa...Chuki Sumu!
Hata mimi nimeishi nao vilevile.Nineishu na wazungu kwa muda mrefu sana, nawajua zaidi ya unavyofikiria wewe.
Unafurahia sana shuda za wenzakoWanakuitaa suguuu nanii!!
Rungu moja tuh usugu wote kwisha kila siku nikutembelewa tuh hata kutembea haezi tena
Tii Sheria bila shuruti
Mtoto wa kiume unaomba kupigwa mpaka unawiri, salaleeeeh😜mtu alopigwa amenawiri hivyo? namie wakanipige walahi, ila wazenj bwana anaweza kukupiga na ufagio wa buibui akajua amekuua
Nani anampenda mwafrika au mwarabu 😄Nineishu na wazungu kwa muda mrefu sana, nawajua zaidi ya unavyofikiria wewe.
Nani anampenda mwafrika au mwarabu 😄
Ova
Kwa lipi? Ndio maana waafrika tunaonekana manyani. Si juzi tu hapo ufaransa alikuwa anapiga mabomu waandamanaji wao, au mmesahau?CCM wanaumia na kujuta
Kizimkazi wa mchambawima ajitathimini sana uongozi wake.maana mataifa ya kizalendo kama marekani na ufaransa yamechukizwa na utawala wake wa kidhalimu unaokandamiza wapinzani.Ipo siku yatamshughulikia Kwa vitendo vyake viovu dhidi ya wapinzani.
Kinachokuliza nini?Kwa lipi? Ndio maana waafrika tunaonekana manyani. Si juzi tu hapo ufaransa alikuwa anapiga mabomu waandamanaji wao, au mmesahau?