Mawembasa1979
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 2,540
- 3,333
Mkuu salama lakini, unauliziwa sana kwenye Jukwaa letu pendwa la Sports. Siku njema Kiongozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Sana kwa ufafanuzi Mate, hiyo ndio ilikuwa wasiwasi wangu kwamba hapo kwenye Makundi Maalum wenye Nia zao ovu hawawezi kutumia huo mwanya, maana ni kama wamewekewa nafasi ya kuingia.Jinsia (Gender) ni uhusiano au nafasi ya mwanamke na mwanaume ndani ya jamii
Jinsi (Sex) ni tofauti za kibailojia kati ya mwanamke na mwanaume. Mfano, jinsi yake ni me au ke.
Hapo kwenye makundi maalumu inajumuisha watu ambao kwa namna moja wanahitaji sapoti kutoka katika jamii kwa sababu mbalimbali mfano, walemavu, watoto wa mitaani, wazee, labda na hao LGBT sasa waingie humo!