Balozi wa Uingereza nchini Tanzania bi Sarah Cooke asikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, atoa wito kwa Serikali

Balozi wa Uingereza nchini Tanzania bi Sarah Cooke asikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, atoa wito kwa Serikali

Bi Sarah Cooke anaeleza kusikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, aidha anavitaka vyombo vya usalama kuhakikisha kuwa wanasiasa wanatoa maoni yao kwa uhuru kuelekea uchaguzi mkuu.

''I am deeply concerned by the attack on Chadema Chairman Freeman Mbowe. All politicians in Tanzania must be free to represent their constituents without fear of violence, especially as the 2020 election campaign starts. I hope the perpetrators will be identified & held accountable''


My take: Nasisitiza kuwa Mbowe ameshambuliwa na wahuni wanaoiunga mkono serikali ya JPM ambao walikuwa wamebeba silaha ya SMG na upo uwezekano mkubwa wametokea jeshi la POLICE!
Mwambieni Balozi kuwa Mwenyekiti alikuwa anatoka kwenye ulevi na uzinzi
 
Tulieni mgeuzwe zimbabwe
Arudi Wingereza akapambane na hali yao.


View attachment 1472279
Protesters throw statue of Edward Colston into Bristol harbour during a Black Lives Matter protest rally yesterday

View attachment 1472282


View attachment 1472285
Police officers stand in a line next to protesters during a Black Lives Matter protest rally in Westminster today

View attachment 1472289

Police clash with Black Lives Matter protesters during the demonstration in Westminster yesterday

View attachment 1472291

Credit: Black Lives Matter protester says he desecrated Churchill's statue
 
Ingekuwa mpinzani kasema kuwa Mbowe kashambuliwa angeambiwa adhibitishe, na hata angeitwa kamati ya maadili. Hilo ndio bunge mateka wa jiwe.
Anaitwa state agent
 
Jumuiya ya Ulaya yaungana na Uingereza kuonesha masikitiko na kuwa ina imani serikali ya Tanzania itafanya kila linalo wezekana kufanya uchunguzi wa tukio hili la Mh. Freeman Aikael Mbowe kushambuliwa na watu wasiojulikana mjini Dodoma, Tanzania ili wapatikane na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria ili haki ipatikane.

Joint Statement by the European Union Heads of Mission in Tanzania on the attack against Hon. Freeman Mbowe
Dar es Salaam, 09/06/2020 - 17:19, UNIQUE ID: 200609_18
Local Statements
Joint Statement by the European Union Heads of Mission in Tanzania on the attack against Mr Freeman Mbowe, national Chairman of CHADEMA and leader of the opposition in the Tanzanian Parliament.

Mr Freeman Mbowe, national Chairman of CHADEMA and leader of the opposition in the Tanzanian Parliament, was attacked by unknown assailants on Tuesday 9 June while returning home in Dodoma. Mr Mbowe suffered several injuries and is receiving treatment at the hospital.
The European Union Heads of Mission in Tanzania express their sympathy to Mr. Freeman Mbowe and wish him a speedy recovery.

Every attack against a representative of the institutions of the United Republic of Tanzania, whatever his/her political affiliation, is an attack against democracy. With general elections only a few months ahead of us it is essential to let democracy take its course and ensure all conditions to full participation in credible and transparent elections.

The European Union Heads of Mission trust that the authorities will successfully investigate and bring the perpetrators to justice.

Source :
Joint Statement by the European Union Heads of Mission in Tanzania on the attack against Hon. Freeman Mbowe
 
Kwani Lijualikali ndiye msemaji wa Jeshi la Polisi au yeye ndiye mke wa Mbowe?

Acha ujinga!
IMG-20200609-WA0004.jpg
 
MIE kuna siku nimeshambuliwa na kuvamiwa na majambazi nikavunjwa jino ila sijamsikia huyu balozi akikemea jamani.yani huyu ni mnafiki kiasi cha lami.kama wale chama cha wajane kimeenda kumuona ki Lyn Wa mengi na huku kijijini kwetu kuna binamu yangu akaacha mjane na anauza nyanya kwenye minada ila hicho chama sijakiona wakienda kumuona. Na hawa wote ni wanafiki kama wanafiki wengine
 
Back
Top Bottom