Balozi wa Uturuki: Shule za Feza zinaidanganya Tanzania, naamini Serikali itachukua hatua

Uturuki haitaki shule zifungwe, inataka zitaifishwe au ziuzwe kwa wamiliki wengine
 
kwa stail hiyo hili vuguvugu kuisha sio leo kila mmoja ana sababu zake
 
Nyie wote mnamshambulia Balozi bila kujua alichosema balozi ....

Nasema siku mkijua / mkielewa alichosema Balozi itakuwa too late na hamtaweza kufanya chochote kama Taifa ... Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kukosa maarifa ...
 
swali lingine la kujiuliza huu mgogoro serikali inaona ni sawa [emoji848][emoji848]
 
wajamaa siku wanaweza kupiga bomu pale na watoto wetu wakiwa darasani[emoji848][emoji848]
 
Mbona Habari za zamani sana ambazo zinarudishwa tu
Hakuna mapya ?
 
Ni kama vile Mbowr akafungue shule kenya af balozi wa tanzania nchini kenya alete figisu kwa shule hizo
Halafu ubalozi wa Tanzania huko Kenya utoe kibali cha hao wanafunzi wa huyo mpinzani kuja Tanzania kila mwaka. Najiuliza sipati jibu
 
Anachotakiwa ajitathmini kwa nini alitaka kupinduliwa badala yake analipiza kisasi, na hii ni tabia ya viongozi wengi
 
Na yeye Sasa hivi anajitadi sana kwenye dini
 
kuna shida uturuki... tutajua tu... tuna fanyia kazi taarifa za balozi, tanzania sio mahal salama kwa magaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…