Feza wanapelekwa watoto wa vigogo wakati fedha za kusomeshea na kuendesha maisha yao zinatoka kwa maskini.
Lakini sio mbaya sana, hivi karibuni alinukuliwa kiongozi mmoja wa juu kabisa akisema. Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake!!
View attachment 2083759