Balozi za Tanzania kutakiwa kuwa na makazi ya kudumu na siyo kulipa kodi ni sawa?

Balozi za Tanzania kutakiwa kuwa na makazi ya kudumu na siyo kulipa kodi ni sawa?

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Kwa safu ya mama aliyopo nayo wengi wao wamekuwa wakilalamikiwa bungeni na wananchi kiujumla kuhusu ufisadi na utendaji wao kwenye wizara.

Nilimsikia waziri January Makamba kuhusu balozi zetu zilizopo zimekuwa zikighalimu pesa kwa ajili ya kupangisha eneo kwa ajili ya balozi zetu.

Wazo la Waziri Janaury ni zuri ila kwangu nazidi kupata mashaka kwake maana kama wizara ya nishati tu uliyofanya naweza kusema hata hapo unaweza kufanya hayo.

Je, katika kununua sehemu za balozi ni nani anayetakiwa kuwa msimamizi wa hayo majengo na iwe wazi na lisiwe wizara ya mambo ya nje. Liwe na idara ya usimamizi wa manunuzi wa majengo yote ya serikali za nje ya nchi.

Maana harufu ya kuongeza sifuri wakati yapo mbali ina nunikia?
 
Serikali yetu kuna namna imeamua na yenyewe kufanya biashara. Kuna baadhi ya Mikoa nimeona Ofsin za Serikal ziliko katikati ya Miji ziko busy kujenga frem za kupangisha
 
Kitega uchumi nje ya nchi unaita upuuzi wewe kichwani zimo kweli?
Nje ya nchi ni upuuzi kabisa , kitega uchumi kipi kama sio upuuzi ..Wamefanya utafiti huko panahitajika maukumbi ya kukodisha ....Bado kuna kodi maana ni biashara nje ya nchi .
 
Kwa safu ya mama aliyopo nayo wengi wao wamekuwa wakilalamikiwa bungeni na wananchi kiujumla kuhusu ufisadi na utendaji wao kwenye wizara.

Nilimsikia waziri january makamba kuhusu balozi zetu zilizopo zimekuwa zikighalimu pesa kwa ajili ya kupangisha eneo kwa ajili ya balozi zetu.

Wazo la waziri janaury ni zuri ila kwangu nazidi kupata mashaka kwake maana kama wizara ya nishati tu uliyofanya naweza kusema hata hapo unaweza kufanya hayo.

Je katika kununua sehemu za balozi ni nani anayetakiwa kuwa msimamizi wa hayo majengo na iwe wazi na lisiwe wizara ya mambo ya nje .Liwe na idara ya usimamizi wa manunuzi wa majengo yote ya serikali za nje ya nchi.

Maana arufu ya kuongeza sifuri wakati yapo mbali ina nunikia?
Ni wazo zuri
Mradi wa kipuuzi kujenga majengo nchi za watu ....
It depends.Kujenga majengo ya kawaida ya gharama nafuu kwa ajili ya shughuli za ubalozi ni kitu MUHIMU SANA, kinachotakiwa ni uaminifu tu kwenye suala zima la kazi ya ujenzi wa majengo hayo na ktk mchakato wa upatikanaji wa Ardhi ya kujenga Ofisi za Ubalozi.
Aidha, tunatakiwa kufanya tathmini ya kina juu ya kipi ni gharama zaidi au kipi kina faida zaidi Kati ya kujenga majengo yetu wenyewe au kupanga majengo ya Watu kwa ajili ya shughuli za Ubalozi?
SIKU WAKITUFURUSHA KWAO TUNAONDOKA NA JEZI ZA CCM NA BENDERA
Maeneo na majengo ya Ofisi za Balozi za nchi za nje katika nchi yoyote ile hapa duniani yanalindwa na Sheria za Kimataifa, kwa hiyo SIYO RAHISI HATA KIDOGO majengo au maeneo hayo kuweza kupokonywa, kuvamiwa au kuharibiwa na majeshi ya nchi mwenyeji (Host Country) pale kunapotokea kutokuelewana au hata kutokea Vita Kati ya nchi hizo mbili zenye mahusiano ya kidiplomasia.

Kwa hiyo msiwe mnakurupuka na kuandika maelezo humu mtandaoni bila ya kuwa na taarifa za kutosha kuhusu jambo husika mnalojadili.
 
Nje ya nchi ni upuuzi kabisa , kitega uchumi kipi kama sio upuuzi ..Wamefanya utafiti huko panahitajika maukumbi ya kukodisha ....Bado kuna kodi maana ni biashara nje ya nchi .
Kwa hiyo balhresa aliyewekeza vitega uchumi nje ya nchi na analipa Kodi kule Hana akili?!
Na wawekezaji wannje waliopo nchini kwetu waliowekeza vitega uchumi.vyao Tanzania na Kodi wanalipa hapa Tanzania hawana akili? Unazo wewe Tu?
 
Kwa hiyo balhresa aliyewekeza vitega uchumi nje ya nchi na analipa Kodi kule Hana akili?!
Na wawekezaji wannje waliopo nchini kwetu waliowekeza vitega uchumi.vyao Tanzania na Kodi wanalipa hapa Tanzania hawana akili? Unazo wewe Tu?
Unajenga jengo uliambiwa kuna shida ya majengo ? Wenzio waangalia muelekeo wa biashara ...majengo hapa Dar i empty .

Bado pesa za wafanyakzi hamlipi mnaenda kufuja pesa kweny miradi ya kipuuzi ...Bora ujenge TZ ili papendeze.
 
Ni wazo zuri

It depends.Kujenga majengo ya kawaida ya gharama nafuu kwa ajili ya shughuli za ubalozi ni kitu MUHIMU SANA, kinachotakiwa ni uaminifu tu kwenye suala zima la kazi ya ujenzi wa majengo hayo na ktk mchakato wa upatikanaji wa Ardhi ya kujenga Ofisi za Ubalozi.
Aidha, tunatakiwa kufanya tathmini ya kina juu ya kipi ni gharama zaidi au kipi kina faida zaidi Kati ya kujenga majengo yetu wenyewe au kupanga majengo ya Watu kwa ajili ya shughuli za Ubalozi?

Maeneo na majengo ya Ofisi za Balozi za nchi za nje katika nchi yoyote ile hapa duniani yanalindwa na Sheria za Kimataifa, kwa hiyo SIYO RAHISI HATA KIDOGO majengo au maeneo hayo kuweza kupokonywa, kuvamiwa au kuharibiwa na majeshi ya nchi mwenyeji (Host Country) pale kunapotokea kutokuelewana au hata kutokea Vita Kati ya nchi hizo mbili zenye mahusiano ya kidiplomasia.

Kwa hiyo msiwe mnakurupuka na kuandika maelezo humu mtandaoni bila ya kuwa na taarifa za kutosha kuhusu jambo husika mnalojadili.
Kwa hiyo Tanzania ndio host wa balozi huko kenya ? Achani kudanganywa kuna balozi kila nchi , una uhakika balazoi zote zitapanga hapo ?

Kwa nn wasijenge Arusha ambapo ni makao makuu ya EAC.
 
Kwa hiyo Tanzania ndio host wa balozi huko kenya ? Achani kudanganywa kuna balozi kila nchi , una uhakika balazoi zote zitapanga hapo ?

Kwa nn wasijenge Arusha ambapo ni makao makuu ya EAC.
Are you out of mind??
Umeelewa kitu nilichoeleza kweli?? Una ufahamu wa kutosha kuhusu haya masuala ya mahusiano ya kidiplomasia/kibalozi ya kimataifa Kati ya nchi na nchi nyingine? Umeshasahau hata kupata huduma zozote zile za kibalozi kutoka katikà Ubalozi wa nchi yoyote ile hapa duniani?? Kiwango chako Cha Elimu hasa ni kipi? Nisije nikawa najibizana na mtu ambaye ni mbumbumbu kabisa asiyejua kitu chochote kile hapa duniani kuhusu suala hili la Balozi za nchi.
 
Kitega uchumi nje ya nchi unaita upuuzi wewe kichwani zimo kweli?
Nadhani zimo kuliko ww ivi kenya wameekeza nn zaid ya kupangsha nyumba ya NHC pale uzungun Arusha nyumba ya kawaida tu lakn uku ss tunataka kuje kwa watu na kumbuka kuwa ubaloz znafkia mahali nch aiwez kuudumia in short kufiliska kama tu majuz Korea kaskaz ilitakaza kufunga baloz zake kwa kukosa pesa ya kuendesha je swali n kwamba itokee Tz kashndwa kuendesha baloz uko kenya je itafaidka na nn kweny huo mrad hewa?
 
Back
Top Bottom