Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Inashangaza Sana Balozi zetu huko ughaibuni hazitoi taarifa za fursa zilizopo huko. Fikiria nchi za Middle and Far East zilivyo na fursa ya Ajira, chakula na Ujenzi Ila wenzetu ubalozini wametulia tu. Qatar World Cup 2022 inakuja Ila utakuta hawa ndugu zetu hawana huo muda. Why?
NB: Ubalozi wetu Pretoria pasua kichwa Kwa wanaotaka kuja kutalii nchini. Unawashauri wageni waende Dubai.
==
Soma Mchango wa Balozi za Tanzania kwenye kusaidia upatikanaji wa Ajira kwa Watanzania
NB: Ubalozi wetu Pretoria pasua kichwa Kwa wanaotaka kuja kutalii nchini. Unawashauri wageni waende Dubai.
==
Soma Mchango wa Balozi za Tanzania kwenye kusaidia upatikanaji wa Ajira kwa Watanzania