Balozi zetu toeni fursa kwa Wajasiriamali

Balozi zetu toeni fursa kwa Wajasiriamali

Hata usalama wa taifa wa wenzetu wapo bize kuiba taarifa za fursa za uwekezaji ugenini kwa manufaa ya wananchi wao. Leo wachina wanaiba KILA sehemu sababu ya msaada wa taarifa toka vyombo vyao. Hawa wapo bize kuiba kura badala ya taarifa za fursa.
 
Tufungue balozi huko Bahrain, Indonesia, Pakistan, Afghanistan, Tajikistan ili tuchote fursa za kibiashara
 
Inashangaza Sana Balozi zetu huko ughaibuni hazitoi taarifa za fursa zilizopo huko. Fikiria nchi za Middle and Far East zilivyo na fursa ya Ajira, chakula na Ujenzi Ila wenzetu ubalozini wametulia tu. Qatar World Cup 2022 inakuja Ila utakuta hawa ndugu zetu hawana huo muda. Why?
NB: Ubalozi wetu Pretoria pasua kichwa Kwa wanaotaka kuja kutalii nchini. Unawashauri wageni waende Dubai.


View attachment 2169168

View attachment 2169170
BONGO roho mbaya sana na visokrokwinyoooo
 
Kwa Tanzania kazi ya ubalozi ni kazi ya adhabu ya mtu ambaye ameshindwa labda jeshini/Wizarani au sehemu yoyote anapewa ubalozi kama adhabu hivyo hawezi kuwa na ubunifu wowote,
 
Back
Top Bottom