Balozi zetu toeni fursa kwa Wajasiriamali

Balozi zetu toeni fursa kwa Wajasiriamali

Dubai na Doha kwa macho yangu nimeona kuna watu wengi weusi wanapiga kazi Airport! Hawa watu wanakuza uchumi kwa nchi zao kwa kutuma mabilioni ya dollar kila mwaka na kufanya uwekezaji mkubwa wa kiuchumi makwao!

Sisi wajinga tukazanie tu kukuza kiswahili , Kiswahili my foot!

Dunia ya ajira na biashara nje ya bongo inatumia English!!Watanzania tunatakiwa kufundishwa na kujua kuongea English kwa ufasaha tangu tukiwa wadogo ili kunufaika na fursa za dunia ya kidigitali na hii inatakiwa ianzie kubadili mfumo wa elimu tusomeshwe in English from primary. Mbona Bimkubwa Samia hatumii Kiswahili kuongea na wazungu kusaka mikopo yao watu wa serikali ambayo wananunulia ma V8?nani atamuelewa kwa kiswahili?

Nyie mazee majinga na makoloni mliopo taasisi ya ukuzaji mitaala na wizara ya elimu hamjui kuongea English fluently na hamuipendi hiyo lugha tunawaomba tufundishieni watoto wetu English as medium of instruction kuanzia primary school wakatafute pesa nje ya nchi kama wenzao wa Kenya, Ghana, Nigeria na Gambia maana serikali ya bongo ni maskini na inawadidimiza raia kwenye umaskini kwa matozo kibao na vibanda vyao mnavunja, mmeshindwa kuzuia mfumko wa bei , mmeshindwa kutengeneza mazingira ya ukuaji wa sekta binafsi inayoajiri watu nk

Nyerere alikazania tufundishwe kwa Kiswahili ili tusiweze kufanya kazi nje atutawale vizuri. Nyerere alipenda watanzania wawe maskini awatawale mpaka afe abaki kutukuzwa! Nyerere kafanya mengi mazuri mno ila kwa hili siko nae.

Wenye akili tu watanielewa!
Mkuu hao waliopo Doha Airport ni Kenyans and Ugandans
Serikali yao imewatafutia ajira
Mwanzo walikuwa wahindi ila wameondolewa wote

Ila nawakubali sana walivyo na nidhamu ya kazi
Yaani hawaongei pamoja zaidi ya kazi na hata ukiwasalimia kiswahili wanajibu moja tu

Sasa peleka wa bongo hapo sijui?
 
Inashangaza Sana Balozi zetu huko ughaibuni hazitoi taarifa za fursa zilizopo huko. Fikiria nchi za Middle and Far East zilivyo na fursa ya Ajira, chakula na Ujenzi Ila wenzetu ubalozini wametulia tu. Qatar World Cup 2022 inakuja Ila utakuta hawa ndugu zetu hawana huo muda. Why?



View attachment 2169168

View attachment 2169170
Balozi zetu nyingi ni ofisi za wakoloni weusi wasiojua hata walichotumwa kufanya huko ughaibuni. Wengi wa maafisa wake ni wa hovyo na washamba sina mfano. Mfano, waulize idadi ya watanzania wanaoishi kwenye nchi wanayotuwakilisha, hawatakupa jibu la maana wala lenye kubeba ukweli.
 
Mabalozi wetu wenyewe njaa kweli kweli. Wengine huamua kuwa wahamiaji wa nchi wanazotuwakilisha mpaka kununua nyumba za kuishi na familia zao Maryland wakishastaafu.
 
Mabalozi wetu wenyewe njaa kweli kweli. Wengine huamua kuwa wahamiaji wa nchi wanazotuwakilisha mpaka kununua nyumba za kuishi na familia zao Maryland wakishastaafu.
1. Kwani wanavunja sheria yoyote Kwa kufanya hivyo?
2. Balozi Mwenye Njaa ananunua Tena nyumba ughaibuni?
 
B2EB7F0D-8C23-49D8-B9F4-45DE5A6816EB.png
 
Inashangaza Sana Balozi zetu huko ughaibuni hazitoi taarifa za fursa zilizopo huko. Fikiria nchi za Middle and Far East zilivyo na fursa ya Ajira, chakula na Ujenzi Ila wenzetu ubalozini wametulia tu. Qatar World Cup 2022 inakuja Ila utakuta hawa ndugu zetu hawana huo muda. Why?



View attachment 2169168

View attachment 2169170
Mwambieni Mama kule Washington,Marekani hamna Balozi mule,ingieni muone utopolo anao-post kule LinkedIn,kajigeuza yeye journalist.
China tunae Balozi, angalau wangefuata nyayo za Balozi Kairuki,yule jamaa ana vision,anajua kazi yake.Natamani Mama angempa Ubunge na kumteua Waziri wa mambo ya Nje, ataweza kuibadilisha Ile wizara.
 
Inashangaza Sana Balozi zetu huko ughaibuni hazitoi taarifa za fursa zilizopo huko. Fikiria nchi za Middle and Far East zilivyo na fursa ya Ajira, chakula na Ujenzi Ila wenzetu ubalozini wametulia tu. Qatar World Cup 2022 inakuja Ila utakuta hawa ndugu zetu hawana huo muda. Why?



View attachment 2169168

View attachment 2169170
Hii picha ya ugali kitimoto umeipost wewe sheik?. 😁😁😁😬😬😳🙄.
Anyways, fursa zipo na zinatoka kwa connections nowdays.
 
1. Kwani wanavunja sheria yoyote Kwa kufanya hivyo?
2. Balozi Mwenye Njaa ananunua Tena nyumba ughaibuni?
Hawavuni sheria ila hiyo ndiyo reflection ya interests zao. Balozi njaa haina maana hana pesa, bali ni balozi ambaye anachumia tumbo tu,. Hayuko pale kufanya majukumu ya kibalozi kwa interest za wanachi wa nchi yake kweli bali anajali interets zake yeye binafsi tu.
 
Hawavuni sheria ila hiyo ndiyo reflection ya interests zao. Balozi njaa haina maana hana pesa, bali ni balozi ambaye anachumia tumbo tu,. Hayuko pale kufanya majukumu ya kibalozi kwa interest za wanachi wa nchi yake kweli bali anajali interets zake yeye binafsi tu.
Wewe ambae huchumii Tumbo umeanzisha viwanda vingapi nchini kusaidia wazalendo/Wanyonge?
 
Wewe ambae huchumii Tumbo umeanzisha viwanda vingapi nchini kusaidia wazalendo/Wanyonge?
Swali la kijinga hili; mimi siyo balozi: sijawahi kutumwa kwenda kuiwakilisha nchi sehemu yoyote na wala sijawahi kulipwa kwa kutumia kodi ya watanzania katika kuendesha maisha yangu.
 
Swali la kijinga hili; mimi siyo balozi: sijawahi kutumwa kwenda kuiwakilisha nchi sehemu yoyote na wala sijawahi kulipwa kwa kutumia kodi ya watanzania katika kuendesha maisha yangu.
Basi kama si Balozi tuliza mshono. Yaani watu wasifurahie maisha kisa ubalozi? Punguza wivu, walaumu walezi wako. Nyie ndo Balozi akistaafu, halafu kachoka mnamcheka Tena. Watu washashtuka Sasa Ni mwendo wa kulamba asali mpaka kustaafu
 
Basi kama si Balozi tuliza mshono. Yaani watu wasifurahie maisha kisa ubalozi? Punguza wivu, walaumu walezi wako. Nyie ndo Balozi akistaafu, halafu kachoka mnamcheka Tena. Watu washashtuka Sasa Ni mwendo wa kulamba asali mpaka kustaafu
Wewe utakuwa ni mmoja wa mabalozi au ni familia ya kibalozi ambao hamjui majukumu yenu kwa nchi. Wananchi wakilaumu ubovu wa huduma za kibalozi mnaona wanawaonea wivu. Ndio urefu wa kamba zenu huo, siyo?
 
Back
Top Bottom