Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
- Thread starter
- #21
Mabalozi amkeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmhWoyo woyo woyooo
Oklahoma cityWorld cup Qatar 2022 ilikua ni fursa
Na Waziri husika anashindwa kufanya vikao na hao mabalozi kuelezea sera ya Diplomasia ya Uchumi?Inashangaza Sana Balozi zetu huko ughaibuni hazitoi taarifa za fursa zilizopo huko. Fikiria nchi za Middle and Far East zilivyo na fursa ya Ajira, chakula na Ujenzi Ila wenzetu ubalozini wametulia tu. Qatar World Cup 2022 inakuja Ila utakuta hawa ndugu zetu hawana huo muda. Why?
View attachment 2169168
View attachment 2169170
Dubai na Doha kwa macho yangu nimeona kuna watu wengi weusi wanapiga kazi Airport! Hawa watu wanakuza uchumi kwa nchi zao kwa kutuma mabilioni ya dollar kila mwaka na kufanya uwekezaji mkubwa wa kiuchumi makwao!Tujifunze kwa Majirani. Wakenya, waganda wamejaa Arabuni wakipiga kazi
Hao wnaateuliwa sio walafanye kazi bali wakapumzike.Inashangaza Sana Balozi zetu huko ughaibuni hazitoi taarifa za fursa zilizopo huko. Fikiria nchi za Middle and Far East zilivyo na fursa ya Ajira, chakula na Ujenzi Ila wenzetu ubalozini wametulia tu. Qatar World Cup 2022 inakuja Ila utakuta hawa ndugu zetu hawana huo muda. Why?
View attachment 2169168
View attachment 2169170
Wanaoata ndugu na watoto wao. Wengine baba zenu wameifanyia nini ccm? Endeleeni kulima huko dumila.Nalia na Balozi zetu zilizopo Kuwait, Oman, Qatar na UAE huko zimejaa fursa. Ila hamtak vijana wapate hizo fursa.