Chama chetuKuna mabalozi hawajui kazi zao kabisa
Yaani mradi wapo tu
Labda uwe na Kadi ya kijaniBongo ya Sasa hata kuelekezwa machimbo kariakoo Hadi utoe Hela sijui izo fursa za nje ya nchi tutazipataje sasa
BONGO roho mbaya sana na visokrokwinyooooInashangaza Sana Balozi zetu huko ughaibuni hazitoi taarifa za fursa zilizopo huko. Fikiria nchi za Middle and Far East zilivyo na fursa ya Ajira, chakula na Ujenzi Ila wenzetu ubalozini wametulia tu. Qatar World Cup 2022 inakuja Ila utakuta hawa ndugu zetu hawana huo muda. Why?
NB: Ubalozi wetu Pretoria pasua kichwa Kwa wanaotaka kuja kutalii nchini. Unawashauri wageni waende Dubai.
View attachment 2169168
View attachment 2169170
Ubalozi ni kazi ya adhabu kwa Tanzania utanielewa baadaeNalia na Balozi zetu zilizopo Kuwait, Oman, Qatar na UAE huko zimejaa fursa. Ila hamtak vijana wapate hizo fursa.