Bananga: Jana nimeongea na Makonda sasa yupo Arusha, amemaliza likizo yake

Bananga: Jana nimeongea na Makonda sasa yupo Arusha, amemaliza likizo yake

Katibu wa Siasa na Uenezi mkoa wa Dar es salaam, Binamubananga amesema amezungumza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda na sasa amerejea Arusha baada ya kumaliza likizo yake.

Hii inakuja baada ya maswali mengi kuzuka mitandaoni kumuhusu mkuu huyo wa Mkoa kuwa kimya sana tofauti na watu wakiwa wamemzoe kumuana katika majukumu yake.

Soma Pia:

 

Attachments

  • 5833549-b568ca9d86e06a4e2e62e2dda4f14b24.mp4
    37 MB
Back
Top Bottom