Bananga kumpigia kura Diamond

Bananga kumpigia kura Diamond

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Wakuu,

Duniani kuna watu na viatu, Bananga aamua kuwa mtu.
=====

Nadeclare interest
Mimi ni mshabiki wa diamondplatnumz

Nitapiga kura

Nitaomba kura kwa ajili yake

Kwangu mm michezo, muziki na starehe hazina itikadi.
Huwa nachagua vita vya kupigana

Vita ndogo ina gharama kubwa kama hupigani kwa tahadhari.
Sio lazima nile kware wakati nina kuku

Wajibu wangu kisiasa ni mkubwa kuliko kumuombea mabaya mtanzania anayejiinua.
Kama humuungi mkono waachie wanaomuunga.

Waliotuangusha kwenye game ya siasa ni wengi hasa sisi wenyewe ndani.
Nihame @simbasctanzania kisa Mfadhili @moodewji ni CCM?

Huko nimevuka.

Twendeni na Platnumz BET

Ni mtazamo wangu nabaki nao

Nami naheshimu wako
IMG-20210605-WA0022.jpeg
 
Kutompenda Diamond na kuamua kutompigia kura (kwa sababu yoyote ile) ni jambo moja na linaloeleweka kabisa.

Ila kutaka kupandikiza chuki yako kwake kwa WaTZ wengine wote ni jambo tofauti kabisa.
 
Pia chama alichokitumikia huyu mwamba kina wajibu wa kumpigia campaign apate kura
Maana bhana maisha haya ni campaign tu hamna namna
Sasa Diamond ndio ataelewa kuwa rafiki wa kweli ni yule wa wakati wa shida
kwani Diamond ana shida gani mzee?
 
Msimamo wa Lissu ndio Msimamo wa Chadema?

Msimamo wa Chadema unatokana na Maazimio rasmi ya Chama, lini Kamati kuu ilikutana kujadili issue za Diamond?

Kuna watu wanapigania sana Demokrasia japo hawaamini katika demokrasi
 
Back
Top Bottom