Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Ila anaestahili ni ali kiba?Huyo Diamond hastahili kabisa hiyo tuzo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila anaestahili ni ali kiba?Huyo Diamond hastahili kabisa hiyo tuzo.
Kuna hoja hapo mkuu?
Acha umbea, ramli gani wewe mbuzi?
Kila mtu akale alikopeleka mboga
Sawa bibiDogo acha jazba,tulia
Hivi kwa akili yako wanachadema wanazidi wanaCCM?Kumbuka mke wa bananga ni mbunge wale covid.
Chadema haijatoa msimamo wake kuhusu Diamond usichanganye mada hapa mataga
Mataga lete tume huru uoneHivi kwa akili yako wanachadema wanazidi wanaCC
Kwa hio tamko la wema sepetu ni la ccm? Kwa vile wema ni mgombeawa ccm piaTamko la Lisu ni tamko la chadema..
Au umesahau kama Lisu ni makamu mwenyekiti?
Akili umepeleka wapi bavicha?
Sana sana matusi tu! Kumbuka OCD wa Hai alimweleza nini Mbowe 2020 wakati wa kampeni na nyie mlijifaraguaje hapa Ukumbini kwa chadema yaani JF?Mataga lete tume huru uone
Sana sana matusi tu! Kumbuka OCD wa Hai alimweleza nini Mbowe 2020 wakati wa kampeni na nyie mlijifaraguaje hapa Ukumbini kwa chadema ya
Mkuu ni kweli?Yule ni CCM kama mke wake
Kwa nature ya watz,huwa tunapenda kumchukia mtu mwenye mafanikio fulani, kifupi tunaroho mbaya sana.......
Uwezo wako wa kuchanganua ni mdogo sana ndio maana hata mzee wa degree nne alikuwa anakudharau.Kumbuka pamoja ramli zote mlizopiga toka mwaka 2015 dhidi yake lakini anazidi kichana mbuga
Kwenye siasa tupo na democrasia yake, kwenye michezo na muziki vivyo hivyo. Mtu asikupangie UHURU WAKO WA MAWAZO, BALI AKUSHAURI KWA HOJA TUHawa CHADEMA wamekomaa kifikra...demokrasia.... Wanatofautiana wazi bila unafiki...na kukubaliana mambo muhimu kwa uwazi. Ningependa CCM waige,,maana baada ya kifo cha JPM...ona yanayotokea...close circle yake wanavyoparurana...uwazi haupo
Kahaba anawaza hela tuu [emoji12][emoji12][emoji12]Anaingiza hela
Uwezo wako wa kuchanganua ni mdogo sana ndio maana hata mzee wa degree nne alikuwa anakudharau.
Diamond hapingwi kwa sababu kuwa CCM, mbona Marehemu Komba alikuwa ccm na kaimbia sana chama lakini hakuchukiwa? Alikuwa kazini kwenye chama chake na hakutetea watu Individuals makatili na wauaji kwa gharama ya sanaa yake kama huyo kijana.
Hiyo ndio point wanayo miss wengi wenu, huwezi kumtetea Makonda katikati ya tuhuma za kuteka na kipoteza watu ukategemea Mkuu uungNEVERTHELESS kono, NEVER
Diamond hajawahi kuwa upande wa haki alikuwa upande wa watesi wa Lissu, sasa wewe unafikiri Lissu kaweka huo msimamo wake kirahi rahisi tu kwamba ni suala la msimamo tu binafsi wa mtu? Hili suala la Diamond lishakuwa ni kati ya wapenda haki na wasiopenda kwahiyo kumsapoti Diamond ni sawa na usaliti kwa wapenda haki.Banaga katoa msimamo wake kama lisu alivyotoa msimamo wake, nionyeshe sehemu lisu au chadema wakisema wanachadema wasimpigie kura diamond
Uwezo wako wa kuchanganua ni mdogo sana ndio maana hata mzee wa degree nne alikuwa anakudharau.
Diamond hapingwi kwa sababu kuwa CCM, mbona Marehemu Komba alikuwa ccm na kaimbia sana chama lakini hakuchukiwa? Alikuwa kazini kwenye chama chake na hakutetea watu Individuals makatili na wauaji kwa gharama ya sanaa yake kama huyo kijana.
Hiyo ndio point wanayo miss wengi wenu, huwezi kumtetea Makonda katikati ya tuhuma za kuteka na kipoteza watu ukategemea uungaji mkono, NEVER