Hii comment imetoa majibu kwann chui huyu ameamua kula nyasi.Kumbuka mke wa Bananga ni mbunge wale covid. Chadema haijatoa msimamo wake kuhusu Diamond usichanganye mada hapa mataga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii comment imetoa majibu kwann chui huyu ameamua kula nyasi.Kumbuka mke wa Bananga ni mbunge wale covid. Chadema haijatoa msimamo wake kuhusu Diamond usichanganye mada hapa mataga
Kamisheni yangu iko chattle kwenye ulinzi wa kaburi la dhalimu.
Hoja ya Bananga imetoka nje ya hoja ya Lissu kama ndio amekusudia kukabiliana nayo. Hoja ya Lissu haihusu U CCM na U Chadema au U CCM na Upinzani. Ni suala linalohusu ushiriki wa Diamond kuvunja haki za binadamu akishirikiana na Bashite. Mtazamo wa Lissu ni mpana kidogo, unagusa shule pia, kwa maana ya uelewa mpana wa mtu katika kuiendea hoja husika. Bananga ameingia kwenye hoja kilevi..apuuzwe!
Wakala bhana
Na akishinda utatoa nini weka ahadi yako hapoMond hata akipigiwa na watz wote(+wanacdm wote) hawezi kushinda hiyo tuzo.
Anastahili nani?Huyo Diamond hastahili kabisa hiyo tuzo.
Ingekuwa hivyo angemtimua Bashite mapema sana.Kujali kuwa watu hawampendi hilo alijali sana, na lilikuwa linamuumiza kwani alitaka apendwe na kusifiwa. Na anajua watu walikuwa wanaiponda hiyo timu baada ya kumtuma huyo dhalimu wake Bashite.
Amtimue Bashite wakati alikuwa ndio mfuasi wake wa siasa za kidhalimu?Ingekuwa hivyo angemtimua Bashite mapema sana.
Kwakweli ww ndo wastahili.Huyo Diamond hastahili kabisa hiyo tuzo.
Ndio maana nikasema alikuwa hajali kuhusu nyinyi kumchukia na alikuwa anaendelea kumuweka Bashite kwa sababu ya kuwakomoa ninyi.Amtimue Bashite wakati alikuwa ndio mfuasi wake wa siasa za kidhalimu?
Ndio maana nikasema alikuwa hajali kuhusu nyinyi kumchukia na alikuwa anaendelea kumuweka Bashite kwa sababu ya kuwakomoa ninyi.
Habari ni nini sasa hapa???????
😂 😂, yaaani icho kikundi chenu cha njaa ndo mnataka kua wazungumzaji wa nchiBananga historia yake ni kina Msando simshangai kwa huo uamuzi wake, nahisi ana marafiki wengi CCM kuliko Chadema.
Dah! kwahiyo ndio ishakuwa vita Diamond na Chadema , hapa tutegemee watu kuitwa wasaliti wa chama kwa kuwa upande wa Diamond.
Maana Diamond kosa ni kusapoti watesaji hajawahi kuwa upande wa haki kama Lissu alivyosema hivyo kumsapoti Diamond ni sawa na kusapoti upande usio wa haki na kufanya hivyo ni sawa na usaliti. Nadhani haitoishia kwa Diamond tu bali kwa wasanii wote na baada ya hapo kunahamia kwenye simba na yanga.
Huwezi kuelewa!Rudia kusoma kamanda,na wewe ni wakala
Wewe utaishi milele?Uzuri ni kuwa na sisi tulikuwa hatumpi raha, huoni kaondoka yeye kwa ugonjwa sisi bado tupo?
Tumekuwa kama mazuzu! Hili nalo lina mtazamo wa kisiasa?