Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yeye mwenyewe ni CCM 100%Bananga historia yake ni kina Msando simshangai kwa huo uamuzi wake, nahisi ana marafiki wengi CCM kuliko Chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mwenyewe ni CCM 100%Bananga historia yake ni kina Msando simshangai kwa huo uamuzi wake, nahisi ana marafiki wengi CCM kuliko Chadema.
Mke wake ni mbuge wa Ndugai hivyo usishangae
Kwa sababu nadhani ni kitu cha kusadikika, wapi ipo hiyo demokrasia?Msimamo wa Lissu ndio Msimamo wa Chadema?
Msimamo wa Chadema unatokana na Maazimio rasmi ya Chama, lini Kamati kuu ilikutana kujadili issue za Diamond?
Kuna watu wanapigania sana Demokrasia japo hawaamini katika demokrasi
Kuna hoja hapo mkuu?Kamanda jikite kwenye hoja
Acha umbea, ramli gani wewe mbuzi?Kumbuka pamoja ramli zote mlizopiga toka mwaka 2015 dhidi yake lakini anazidi kichana mbuga
hatopataHuyo Diamond hastahili kabisa hiyo tuzo.
Nikweli, mbona hawaihami Simba kisa mwenye pesa CCM? Uko sawa.
Hata asipopata, wasanii wenu munao wapenda hata nominees hawamo, inamtosha kutajwa tu.hatopata
Kila mtu akale alikopeleka mbogaHata asipopata, wasanii wenu munao wapenda hata nominees hawamo, inamtosha kutajwa tu.
Uko sawa kabisa lakini tusitengane kisa nimeenda kulala nilipo peleka mboga.Kila mtu akale alikopeleka mboga
Apige kura kwani naye ni mpiga kura? Au anadhani hizo kura zinapigwa na kila mtu!
Basi kila mtu ashinde mechi zake tuone mwisho itakuwajeUko sawa kabisa lakini tusitengane kisa nimeenda kulala nilipo peleka mboga.
Diamond atachukua tuzo hii...!
Banaga katoa msimamo wake kama lisu alivyotoa msimamo wake, nionyeshe sehemu lisu au chadema wakisema wanachadema wasimpigie kura diamond
Tamko la Lisu ni tamko la chadema..Kumbuka mke wa bananga ni mbunge wale covid.
Chadema haijatoa msimamo wake kuhusu Diamond usichanganye mada hapa mataga