Banc ABC wamekataa kulipwa, msaada wenu unahitajika

Banc ABC wamekataa kulipwa, msaada wenu unahitajika

Mgaa gaa upwa

Senior Member
Joined
Jan 11, 2024
Posts
180
Reaction score
281
Ni baada ya kuhangaika huku na huko bila kupata mkopo wa kuendeleza biashara yangu hatimae nikakutana na hii Banc ABC wakanipatia mkopo wa miaka miwili Ila kwa makubaliano kuwa nikipata pesa yao kabla ya huo muda naweza kulipa pesa yao tukaachana.

Kweli nilipambana kwa namna yangu na Hali yangu Hadi nikapata pesa yao baada ya miezi mitatu tu na biashara yangu inaendelea.

Tatizo limeanza pale niliporudi kwao Banc ABC kutaka balance yangu ili niwalipe tuachane.

Ni mwezi wa nne Sasa tangu niombe kulipa Deni kuanzia mwezi wa tano Hadi wa Tisa (mwezi huu) wananisumbua, hawataki kunipatia balance (kiasi kilichobakia).

Msaada tafadhari nifanyeje nilipe Deni?

Sitaki kudaiwa Ila wananilazimisha, Wazo langu ilikuwa niwapeleke mahakamani Ila nimewaza huenda Kuna sehemu naweza kuanzia kuepusha lawama zisizo na msingi.

Msaada wa hatua za kuanzia...
 
Ni baada ya kuhangaika huku na huko bila kupata mkopo wa kuendeleza biashara yangu hatimae nikakutana na hii Banc ABC wakanipatia mkopo wa miaka miwili Ila kwa makubaliano kuwa nikipata pesa yao kabla ya huo muda naweza kulipa pesa yao tukaachana.

Kweli nilipambana kwa namna yangu na Hali yangu Hadi nikapata pesa yao baada ya miezi mitatu tu na biashara yangu inaendelea.

Tatizo limeanza pale niliporudi kwao Banc ABC kutaka balance yangu ili niwalipe tuachane.

Ni mwezi wa nne Sasa tangu niombe kulipa Deni kuanzia mwezi wa tano Hadi wa Tisa (mwezi huu) wananisumbua, hawataki kunipatia balance (kiasi kilichobakia).

Msaada tafadhari nifanyeje nilipe Deni?

Sitaki kudaiwa Ila wananilazimisha, Wazo langu ilikuwa niwapeleke mahakamani Ila nimewaza huenda Kuna sehemu naweza kuanzia kuepusha lawama zisizo na msingi.

Msaada wa hatua za kuanzia...
Kwa muda mfupi wanajua hawatapata faida ndio maana wanakuzungusha

Pambana kama inawezekana uwalipe
 
Kama una uhakika kuna kipengele kwenye mkataba kinasema ukipata pesa yao kabla ya muda wa makubaliano unaweza kuwarejeshe, hapo hakuna tatizo. Changamoto ninayoiona ni kwamba, huenda mlikubaliana ukirudisha ndani ya muda mfupi, riba inabaki vile vile na wewe hutaki kuwalipa na riba ya 2 years in 3 months.

Tukumbuke mikopo ni biashara kwa mabenki na ndio faida yao, wanataka sana ukope kwa muda mrefu ili wapate riba mufti.​
 
Kama una uhakika kuna kipengele kwenye mkataba kinasema ukipata pesa yao kabla ya muda wa makubaliano unaweza kuwarejeshe, hapo hakuna tatizo. Changamoto ninayoiona ni kwamba, huenda mlikubaliana ukirudisha ndani ya muda mfupi, riba inabaki vile vile na wewe hutaki kuwalipa na riba ya 2 years in 3 months.

Tukumbuke mikopo ni biashara kwa mabenki na ndio faida yao, wanataka sana ukope kwa muda mrefu ili wapate riba mufti.​
Hapa lazima Bank ifocus kwenye faida, pia kama Bank wana hicho kipengele kwenye mkataba kwanini wasimuambie badala yale wakae kimya kwa muda huu wote tangu aombe kulipa
 
Kama una uhakika kuna kipengele kwenye mkataba kinasema ukipata pesa yao kabla ya muda wa makubaliano unaweza kuwarejeshe, hapo hakuna tatizo. Changamoto ninayoiona ni kwamba, huenda mlikubaliana ukirudisha ndani ya muda mfupi, riba inabaki vile vile na wewe hutaki kuwalipa na riba ya 2 years in 3 months.

Tukumbuke mikopo ni biashara kwa mabenki na ndio faida yao, wanataka sana ukope kwa muda mrefu ili wapate riba mufti.​
Hapana kuhusu riba walisema inapigiwa Ile ya muda niliorudisha siyo miaka miwili tena.
 
nafikiri tatizo hapo ni wao tu kukuelewesha mmalizane.
Mfano: Kama ulichukua milioni mbili ila kwa miaka miwili utarejesha milioni tatu
Wanachotakiwa kukuambia hapo ni kuwa, uwarejeshee milioni tatu zao yaishe. Haijalishi umerudisha haraka kiasi gani kwani ulisaini mkataba wa marejesho ya miaka miwili.
 
Back
Top Bottom