BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.

Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.

Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.

Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.

Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.

Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.

Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.

Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.

Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.

Cc: Erythrocyte
Uko sahihi.
 
Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .

Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Mbona nyie mlimsaliti Slaa na kumnunua Lowasa?
 
Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.

Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.

Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.

Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.

Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.

Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.

Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.

Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.

Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.

Cc: Erythrocyte
Yule ni radical asiyebebeka aliwahi kuwa huko akaji radicalize wakamtema na baadaye akaenda nccr. Fuatilia historia yake
 
Ingekuwa hivi basi watu wa kwanza kabisa ambao hatupaswi kuwaamini ni Chadema.

Walimnunua Lowasa na kumsafisha mchana kweupe.
Lowasa hakununuliwa.Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara 12 na 13.
----Binadamu wote huzaliwa huru,na wote ni sawa.
----Kila mtu anastahili heshima ya Kutambuliwa na Kuthaminiwa utu wake.
----Watu wote ni sawa mbele ya sheria,na wanayo haki,bila ubaguzi wowote,kulindwa na kupata haki sawa mbele ya sheria.
----Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika Jamhuri ya Muungano kuweka sharti lolote ambalo ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake.
---Haki za raia,wajibu na maslahi ya kila mtu na jumuiya ya watu yatalindwa na kuamuliwa na mahakama na vyombo vinginevyo vya Mamlaka ya NCHI VILIVYOWEKWA NA SHERIA AU KWA MUJIBU WA SHERIA.
---Ni marufuku kwa mtu yeyote kubaguliwa na mtu au mamlaka yoyote inayotekeleza Madaraka yake chini ya sheria yoyote au katika utekelezaji wa kazi au shughuli yoyote ya Mamlaka ya Nchi.
 
Lowasa hakununuliwa.Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara 12 na 13.
----Binadamu wote huzaliwa huru,na wote ni sawa.
----Kila mtu anastahili heshima ya Kutambuliwa na Kuthaminiwa utu wake.
----Watu wote ni sawa mbele ya sheria,na wanayo haki,bila ubaguzi wowote,kulindwa na kupata haki sawa mbele ya sheria.
----Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika Jamhuri ya Muungano kuweka sharti lolote ambalo ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake.
---Haki za raia,wajibu na maslahi ya kila mtu na jumuiya ya watu yatalindwa na kuamuliwa na mahakama na vyombo vinginevyo vya Mamlaka ya NCHI VILIVYOWEKWA NA SHERIA AU KWA MUJIBU WA SHERIA.
---Ni marufuku kwa mtu yeyote kubaguliwa na mtu au mamlaka yoyote inayotekeleza Madaraka yake chini ya sheria yoyote au katika utekelezaji wa kazi au shughuli yoyote ya Mamlaka ya Nchi.
Kuhama chama ni haki ya kila mtu
Kama alivyofanya Slaa ni haki yake pia.


Kunya anye kuku,akinya Mwabukusi,akinya Bata kahara
Ila akinya Chadema ni sawa!

CCM itaongoza milele
 
Ni baada ya kukatwa jina na wasaliti CDM
Kwenye kikao cha kumpendekeza Lowassa walikuwa wote,na ukumbuke kuwa ile nafasi ilikuwa ni shida kwa UKAWA maana angewekwa Slaa basi Lipumba angejiengua na kuendeleza itikati zake za udini,pia kama jina la Lipumba lingependekezwa Slaa angejiondoa vile vile kwamba Mbowe amemsaliti.UKAWA haikuwa rafiki kwa CHADEMA na CUF sema tu hawakuliona hilo.
 
Iongoze milele siyo shida shida ni nchi kupewa Waarabu wa Dubai kwa kisingizio cha UWEKEZAJI.
Wapewe tu
Ndo CCM yetu tuliyonayo

Kama upinzanzi wao kwa wao hawajitambui
Wanayooshea mikono makosa ya wenzao ambao hata wao waliyafanya
Ni wabinafsi,,hawataki kuungana pamoja na wanajua wazi kidole kimoja hakivunji chawa.


CCM itawale tu na ifanye inavyotaka.
 
Wapewe tu
Ndo CCM yetu tuliyonayo

Kama upinzanzi wao kwa wao hawajitambui
Wanayooshea mikono makosa ya wenzao ambao hata wao waliyafanya
Ni wabinafsi,,hawataki kuungana pamoja na wanajua wazi kidole kimoja hakivunji chawa.


CCM itawale tu na ifanye inavyotaka.
Ngoja Mwarabu atawale tuone kama CCM itatawala milele.
 
Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .

Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Uko sahihi kabisa, baada ya Mwabukusi kurubuniwa kirahisi na Mbatia, nimekuwa na tahadhari kubwa sana na yeye. Maana CCM wanaweza kumpa nyingi kuliko za huyo dalali Mbatia.
 
Kila jambo na wakati wake, yule Adv. Mwabukusi nikimtazama kwa msimamo wake na namna alivyo, kusema alirubuniwa bila ushahidi nakataa, uamuzi wa mtu kuhamia chama chochote atakacho ni haki yake kikatiba, uheshimiwe..

- Adv. Mwabukusi aliyekuwa tayari mpaka kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo alilogombea, akashindwa kuendelea na kesi kwa sababu za kiafya, kusema alinunuliwa na Magufuli, nakataa.

Nachoona, uwezekano wa Adv. Mwabukusi kuhamia Chadema siku za mbeleni upo, tena mkubwa tu, kwasababu kwanza nimekuwa nikimuona mara kadhaa akiambatana na Mbatia aliyeondolewa NCCR kihuni, lakini pia, kwa sasa interest za Adv. Mwabukusi na Chadema, hasa kwenye operation +255 zinafanana sana.
 
Wapewe tu
Ndo CCM yetu tuliyonayo

Kama upinzanzi wao kwa wao hawajitambui
Wanayooshea mikono makosa ya wenzao ambao hata wao waliyafanya
Ni wabinafsi,,hawataki kuungana pamoja na wanajua wazi kidole kimoja hakivunji chawa.


CCM itawale tu na ifanye inavyotaka.
Kuna ulazima wa vyama kuungana? Vyama kuungana ndio mwanzo wa kuvurugana maana ni rahisi vyama vingine kuhongwa na kuishia kupoteza lengo. CDM wasirudie tena huu upuuzi wa kuungana, vyama vingine viungane ili tuone vikifanya vizuri, na sio lazima CDM ijiunge na vyama hivyo.
 
Muacheni kwanza aisaidie nchi akimaliza wakati wake utakuwa umetimia
Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .

Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
 
Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.

Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.

Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.

Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.

Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.

Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.

Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.

Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.

Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.

Cc: Erythrocyte
Adui ashambuliwe kutokea pande zote ili achanganyiliwe.
 
Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.

Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.

Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.

Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.

Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.

Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.

Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.

Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.

Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.

Cc: Erythrocyte
Huyo jaama yupo smart sana sio opportunities na wala hafananii na akina CDM na ndio maana yupo NCCR SIO SIO HUKO KWA WALA MATAPISHI
 
Back
Top Bottom