Bilaa lilitokea hapa maama akalegea akaja kutoa instrument of power haraka hakarakUko sahihi kabisa!View attachment 2729373
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bilaa lilitokea hapa maama akalegea akaja kutoa instrument of power haraka hakarakUko sahihi kabisa!View attachment 2729373
Lissu, Msigwa, etc ni WA kaskazini?huyo Sio wa kaskazini
Kwa hiyo na mwabukusi naye alirubuniwa haikika warubuni waana upewe mkubwaMwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .
Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Wao ni malaika sijui. Mbowe huwa anawapi nin wallahMbona nyie mlimsaliti Slaa na kumnunua Lowasa?
Bowel huwa anajifanya mtakatifu ,kama tungepata chama cha maana hapa mbali na cdm maccm yangepita hiviWapewe tu
Ndo CCM yetu tuliyonayo
Kama upinzanzi wao kwa wao hawajitambui
Wanayooshea mikono makosa ya wenzao ambao hata wao waliyafanya
Ni wabinafsi,,hawataki kuungana pamoja na wanajua wazi kidole kimoja hakivunji chawa.
CCM itawale tu na ifanye inavyotaka.
Mkuu unakosea sana pale unakariri upumbavu!nyie makuwadi ya warabu dpworld nini kimewafanya msimuone na kumkaribisha.
Mbona hatukuwaona cdm front line alipowekwa korokoroni , jamaa hawezi kuja cdm ,cdm wakipata ruzuku huwa mwenyeki huwaweka machawa wake wa kumshambukia yuoyote anayetaka uwenyeki kwa kuwaita wasaliti ,Kila jambo na wakati wake, yule Adv. Mwabukusi nikimtazama kwa msimamo wake na namna alivyo, kusema alirubuniwa bila ushahidi nakataa, uamuzi wa mtu kuhamia chama chochote atakacho ni haki yake kikatiba, uheshimiwe..
- Adv. Mwabukusi aliyekuwa tayari mpaka kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo alilogombea, akashindwa kuendelea na kesi kwa sababu za kiafya, kusema alinunuliwa na Magufuli, nakataa.
Nachoona, uwezekano wa Adv. Mwabukusi kuhamia Chadema siku za mbeleni upo, tena mkubwa tu, kwasababu kwanza nimekuwa nikimuona mara kadhaa akiambatana na Mbatia aliyeondolewa NCCR kihuni, lakini pia, kwa sasa interest za Adv. Mwabukusi na Chadema, hasa kwenye operation +255 zinafanana sana.
Nimekusoma kaka ErythrocyteMwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .
Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Ahsante kwa taarifa hii mkuu.Leo Yuko Sumbawanga mjini na Mdude Chadema, wamekaribishwa na Mbunge wa Jimbo la Nkasi kaskazini Aida Kenani chini ya uratibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa Bwana Ikuwo. Mkutano wa hadhara viwanja vya Sabato unaanza saa 9 kamili.
Ni kama wewe mwenyewe Lucas mwashambwa tunaona unavyojitahidi kuusaka uteuzi bila kulata tamaa.Huyo Mwabukusi hana lolote lile zaidi ya Usaka Tonge Tu .
Lowassa aliletwa Chadema na Dr Slaa akishirikiana na Askofu Gwajima , haijulikani mpaka leo kwanini baada ya kumleta yeye mwenyewe akakimbiaMbona nyie mlimsaliti Slaa na kumnunua Lowasa?
KabisaBowel huwa anajifanya mtakatifu ,kama tungepata chama cha maana hapa mbali na cdm maccm yangepita hivi
Wengine wanasema Lowassa aliinunua Chadema , sasa wewe umekuja na Jambo jipya kwamba Chadema ndio ilimnunua Lowassa ! sasa sijui tushike lipi ?Ingekuwa hivi basi watu wa kwanza kabisa ambao hatupaswi kuwaamini ni Chadema.
Walimnunua Lowasa na kumsafisha mchana kweupe.
Mimi siyo Kaka , ni mtu mzee sanaNimekusoma kaka Erythrocyte
Kwa ujumla sikuwahi kulijua hilo asilani.
Ndio sasa umunipatia uelewa wa kutosha kabisa na nashukuru kwa hilo.
Ila ninadhani bado kuna upenyo wa kujitafuta na kulijenga upya kaka!
Na nyie mkakubali!Lowassa aliletwa Chadema na Dr Slaa akishirikiana na Askofu Gwajima , haijulikani mpaka leo kwanini baada ya kumleta yeye mwenyewe akakimbia
Sawa mkuu...wanaosema huwezi jua kama una harufu mbaya ya kinywa mpaka uambiwe na wa pembeni. I was just curious. Jinsi ninyi watu wa Mbeya na mnavyohadaiwa na wachaga.Swali lako ni la kijinga sana ! halihusiani na uzi husika