BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .

Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Kwa hiyo na mwabukusi naye alirubuniwa haikika warubuni waana upewe mkubwa
 
Wapewe tu
Ndo CCM yetu tuliyonayo

Kama upinzanzi wao kwa wao hawajitambui
Wanayooshea mikono makosa ya wenzao ambao hata wao waliyafanya
Ni wabinafsi,,hawataki kuungana pamoja na wanajua wazi kidole kimoja hakivunji chawa.


CCM itawale tu na ifanye inavyotaka.
Bowel huwa anajifanya mtakatifu ,kama tungepata chama cha maana hapa mbali na cdm maccm yangepita hivi
 
nyie makuwadi ya warabu dpworld nini kimewafanya msimuone na kumkaribisha.
Mkuu unakosea sana pale unakariri upumbavu!
Tembelea post zangu zote humu kama nina uhusiano na DP-WORLD?
Nadiriki kukuita mpumbavu na mjinga namba 0 sababu ni mjinga ambae hupaswi hata kupewa namba kwenye timu ya wajinga.

Yaani zero brain.

Sio kila mambo umekariri bendera.soma thread ba kama huna la kuchangia unapita kuleeee!
 
Kila jambo na wakati wake, yule Adv. Mwabukusi nikimtazama kwa msimamo wake na namna alivyo, kusema alirubuniwa bila ushahidi nakataa, uamuzi wa mtu kuhamia chama chochote atakacho ni haki yake kikatiba, uheshimiwe..

- Adv. Mwabukusi aliyekuwa tayari mpaka kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo alilogombea, akashindwa kuendelea na kesi kwa sababu za kiafya, kusema alinunuliwa na Magufuli, nakataa.

Nachoona, uwezekano wa Adv. Mwabukusi kuhamia Chadema siku za mbeleni upo, tena mkubwa tu, kwasababu kwanza nimekuwa nikimuona mara kadhaa akiambatana na Mbatia aliyeondolewa NCCR kihuni, lakini pia, kwa sasa interest za Adv. Mwabukusi na Chadema, hasa kwenye operation +255 zinafanana sana.
Mbona hatukuwaona cdm front line alipowekwa korokoroni , jamaa hawezi kuja cdm ,cdm wakipata ruzuku huwa mwenyeki huwaweka machawa wake wa kumshambukia yuoyote anayetaka uwenyeki kwa kuwaita wasaliti ,
 
Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .

Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Nimekusoma kaka Erythrocyte
Kwa ujumla sikuwahi kulijua hilo asilani.
Ndio sasa umunipatia uelewa wa kutosha kabisa na nashukuru kwa hilo.

Ila ninadhani bado kuna upenyo wa kujitafuta na kulijenga upya kaka!
 
Leo Yuko Sumbawanga mjini na Mdude Chadema, wamekaribishwa na Mbunge wa Jimbo la Nkasi kaskazini Aida Kenani chini ya uratibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa Bwana Ikuwo. Mkutano wa hadhara viwanja vya Sabato unaanza saa 9 kamili.
Ahsante kwa taarifa hii mkuu.
 
Mbona nyie mlimsaliti Slaa na kumnunua Lowasa?
Lowassa aliletwa Chadema na Dr Slaa akishirikiana na Askofu Gwajima , haijulikani mpaka leo kwanini baada ya kumleta yeye mwenyewe akakimbia
 
Ingekuwa hivi basi watu wa kwanza kabisa ambao hatupaswi kuwaamini ni Chadema.

Walimnunua Lowasa na kumsafisha mchana kweupe.
Wengine wanasema Lowassa aliinunua Chadema , sasa wewe umekuja na Jambo jipya kwamba Chadema ndio ilimnunua Lowassa ! sasa sijui tushike lipi ?

Lakini nikueleweshe tu kwamba Chadema iko Tayari kushirikiana na yeyote anayepinga Mkataba wa Bandari na DP WORLD , hata kama ni SAMIA SULUHU
 
Nimekusoma kaka Erythrocyte
Kwa ujumla sikuwahi kulijua hilo asilani.
Ndio sasa umunipatia uelewa wa kutosha kabisa na nashukuru kwa hilo.

Ila ninadhani bado kuna upenyo wa kujitafuta na kulijenga upya kaka!
Mimi siyo Kaka , ni mtu mzee sana
 
Swali lako ni la kijinga sana ! halihusiani na uzi husika
Sawa mkuu...wanaosema huwezi jua kama una harufu mbaya ya kinywa mpaka uambiwe na wa pembeni. I was just curious. Jinsi ninyi watu wa Mbeya na mnavyohadaiwa na wachaga.
 
Back
Top Bottom