BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

Wacha kupelekesha watu bure.

Harakati na siasa ni vitu viwili tofaut sana.
Ni katika hali hiyo,unapokuwa na watu tofauti kwenye majukwaa...
Pia unapata uwakilishi wa hoja na mapokeo tofauti.
Kwa sababu kila mtu anayo kariba tofauti ya kujieleza mbele ya jamii.
Hususan kwenye siasa za majukwaani.

Mwananchi mmojammoja anaweza asimuelewe mhutubiaji "A"..lakini akaja kumuelewa mhutubiaji "B" sababu kila mmoja anayo kariba tofauti ya representation!
 
20141018_MAP004_0.jpg


Watanzania hawajaridhika na mkataba wa Bandari yake Salama. Serikali isione aibu kuachana na Waarabu.Tunaposema Bandari Imegawiwa, maana yake Imegawiwa.
Uko sahihi kabisa!
FMy3TTGXoAsF4GW.jpg
 
Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.

Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.

Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.

Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.

Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.

Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.

Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.

Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.

Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.

Cc: Erythrocyte
nyie makuwadi ya warabu dpworld nini kimewafanya msimuone na kumkaribisha.
 
Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.

Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.

Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.

Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.

Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.

Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.

Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.

Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.

Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.

Cc: Erythrocyte
Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .

Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
 
Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .

Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Mambo ya usaliti huko upinzani ni mambo ya kawaida sana ,Maana huko kinachoangaliwa ni Tumbo lipokee chochote na kuwa na uhakika wa kupata chochote kile yaani ni usaka Tonge tu ,Ndio maana hakuna mpinzani anayeaminika mbele za watanzania.
 
Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.

Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.

Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.

Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.

Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.

Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.

Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.

Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.

Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.

Cc: Erythrocyte
Leo Yuko Sumbawanga mjini na Mdude Chadema, wamekaribishwa na Mbunge wa Jimbo la Nkasi kaskazini Aida Kenani chini ya uratibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa Bwana Ikuwo. Mkutano wa hadhara viwanja vya Sabato unaanza saa 9 kamili.
 
Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .

Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
Watu wa Mbeya wanajitoa kafara sana kwa maslahi ya Wakaskazini. Hivi Mbeya Ina wabunge wangapi wa viti maalumu ndani ya CdM?
 
Mnasubiri nini kumkaribisha Advocate Mwabukusi,kwenye majukwaa yenu?
Katika kupigana vita huwa hatuchaguwi ni nani rafiki,bali Urafiki unakuja "Automatically"sababu wote mnaojikuta upande mmoja wa vita mkipigana bega kwa bega dhidi ya Upande wa pili wa adui yenu.Tayari...
Nyinyi mnakuwa ni zaidi ya Marafiki bali kama ndugu kabisa.
Hii ni kwa sababu mnakuwa mmeingia hiari kufa pamoja katika uwanja wa Vita.
Mkiwa mnatetea kile mnachokiamini katika umoja wenu, dhidi ya yule mpinzani wenu.

Pia Rafiki anahitajika kwa kuzingatia kwamba urafiki ni moja ya mali ya thamani sana katika maisha yetu.

Hili la DP-WORLD limegeuka kuwa uwanja wa harakati za mapambano dhidi ya wadhalimu kadhaa, wanaotaka kuuza au kugawa raslimali za nchi yetu kwa faida zao binafsi ambazo bila shaka wanazijua wao.
Dhidi ya wazalendo wa kitanganyika wanaokataa kushuhudia nchi na maliasili zake, ikitumika vibaya na kundi dogo la wenye mamlaka serikalini kwa maslahi yao binafsi pamoja na maswahiba wao.

Ni katika suala hili ambapo wameibuka watu wazalendo kama Advocate Mwabukusi akiwa sambamba na kada maarufu wa "CHADEMA" maarufu kama Mdude Nyagali.
Sina haja ya kuwaelezea wawili hawa kwa sababu tayari wameingia katika orodha ya watu wenye uthubutu wa kupambana na dola kwa hoja zenye mashiko.

Ushauri wangu kwa "CHADEMA" ni kwamba huu ungekuwa wakati sahihi wa kumkaribisha rasmi Mzalendo Mwabukusi.
Ili awaongezee nguvu katika vuguvugu linaloendelea la mapambano ya kuokoa Bandari zetu na kuidai katiba mpya ya JMT.

Fanyeni usajili mpya bila kuangalia maslahi yenu binafsi bali uzalendo kwa maslahi mapana ya Tanganyika yetu.

Na hii itachagiza pia CHADEMA kuendelea kujisimika vizuri kwenye maeneo ya Nyanda za juu kusini huko.

Mwabukusi tayari ni Potential huko kusini....
za kuambiwa ongezeni na za kwenu.

Siasa ni pamoja na mikakati mizuri katika kuunda team sahihi katika wakati sahihi.

Cc: Erythrocyte
Chadema iwaalike wote Shivji, Mpina, Slaa, Lukuvi, Bashiru, Polepole, Mwakubusi na NCCR mageuzi, wana CCM wazalendo.

Kiufupi iunganishe nguvu zote za upinzani na wasio na Chama. Nguvu za Watanzania wote kama UKAWA, kama Upinzani Kenya, Zambia, Malawi, Botwana.

Chadema ijikite zaidi kusimamia maslahi ya Taifa na vitu vinavyomuathiri Mtanzania moja kwa moja kama umeme, maji, tozo, kodi, mazingira ya kibiashara, miundombinu, haki, mahakama, Afya, elimu, bunge, serikali, mahakama, Rais wa hovyo.

Kupoteza wafuasi ni kuchukua sera kama maridhiano, kumshambulia JPM, udini, ukanda ukabila kama sera ya Sukuma gang. Ila sera za kuwafurahisha wapinzani wachache waendelee kubaki upinzani milele sio kuchukua nchi.

Ikifanya hivi itachukua nchi. CCM imechokwa, ila hakuna mbadala serious kuunganisha taifa kwa maslahi mapana ya Taifa.
 
Mambo ya usaliti huko upinzani ni mambo ya kawaida sana ,Maana huko kinachoangaliwa ni Tumbo lipokee chochote na kuwa na uhakika wa kupata chochote kile yaani ni usaka Tonge tu ,Ndio maana hakuna mpinzani anayeaminika mbele za watanzania.
Kuhama chama ni haki ya kila mtu , maadam kusiwe na Rushwa ya uongozi ama pesa kama hii ya Lijuakali

JamiiForums77508547.jpg
 
Mwabukusi alilelewa na kukuzwa na Chadema , amekuwa Wakili wa Chadema Mbeya , ni miongoni mwa mawakili wa Joseph Mbilinyi kwenye ile kesi ya uongo aliyobambikiwa na Magufuli na kumfunga Jela .

Kilichotokea ni hiki , James Mbatia baada ya kununuliwa na Magufuli ili kuua Chadema , akamrubuni Mwabukusi kuhamia NCCR MAGEUZI , baada ya Chukizo la Mungu NCCR ikafa , sijui kama bado Mwabukusi yuko NCCR , naishia hapa .
kumbe naye ni msaliti? mwambukusi hafai kukaribishwa chamani
 
Leo Yuko Sumbawanga mjini na Mdude Chadema, wamekaribishwa na Mbunge wa Jimbo la Nkasi kaskazini Aida Kenani chini ya uratibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Rukwa Bwana Ikuwo. Mkutano wa hadhara viwanja vya Sabato unaanza saa 9 kamili.
Huyo Mwabukusi hana lolote lile zaidi ya Usaka Tonge Tu .
 
Back
Top Bottom