Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Watanzania wa leo wameamka huwezi wadanganya kipumbavu,pili huwezi kuwageuza ngazi ya kupandia,ruzuku mle wenyewe watanzania wajinga muwapeleke mbiombio nyie dubei,ubelgiji,canada, German na wake na watoto wenu.Jana walikosa vyote mbaya zaidi mtoa mada hajaamini na alichokiona licha ya kupiga kelele nyingi hapa jukwaan
ITS ENOUGH,KUCHOCHEWA NA KUPELEKESHWA OVYOOVYO!