Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Morning chadema!!!😂
Jana mlikuwa na jambo lenu pale Temeke vipi mwitikio ukikuwaje? Kuna dalili zozote za mkataba kuvunjwa? Au bado tutegemee jambo lingine?
Tangu jana sijaona kelele humu kupo kimya na leo morning sioni kelele zenu au ndio kuchoka na kupayuka sana bila mafanikio?
Kuna maziwa hapa muje munywe kusuuza koo kidogo mpaka hapo mjue kuwa watz hawashikwi akili tena
I
Jana mlikuwa na jambo lenu pale Temeke vipi mwitikio ukikuwaje? Kuna dalili zozote za mkataba kuvunjwa? Au bado tutegemee jambo lingine?
Tangu jana sijaona kelele humu kupo kimya na leo morning sioni kelele zenu au ndio kuchoka na kupayuka sana bila mafanikio?
Kuna maziwa hapa muje munywe kusuuza koo kidogo mpaka hapo mjue kuwa watz hawashikwi akili tena
I