Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sheikh mwaipopo karibu kitimoto mdau wetuu wa kila sikuHakuna chama hapa, Zito aligoma, Lipumba aligoma, watu walikuwa wachache mno, nilikuwepo nikiangalia utumbo wao, nilipoona napoteza muda nikaondoka zangu, mkutano umejaa udini kuliko siasa.Wakatoliki walijazana t pale Bulyaga wakieneza neno la mungu
Msamehe ni kijana wetu wa upindeMateja sio watu?
Na huo ndio ukwerii in magu voiceUtakuwa darasa la saba failure
Haikuwa na sababu uzi mzuri picha nyingi.. wazungumzaji wote wameongea kitu gani...ila bas tuuNilitaka wazushi waweke picha zao ili kuthibitisha uzushi wao
Usidode kwa nini wakati lilikuwa kongamano la ibilisi!Hakuna chama hapa, Zito aligoma, Lipumba aligoma, watu walikuwa wachache mno, nilikuwepo nikiangalia utumbo wao, nilipoona napoteza muda nikaondoka zangu, mkutano umejaa udini kuliko siasa.Wakatoliki walijazana t pale Bulyaga wakieneza neno la mungu
HaswaUtakua Shekhe Mwaipopo wewe umekuja na ID nyingine
ndio kwanza tumeanzaHaikuwa na sababu uzi mzuri picha nyingi.. wazungumzaji wote wameongea kitu gani...ila bas tuu
Uliipataje hiyo takwimu wewe?Hakuna chama hapa, Zito aligoma, Lipumba aligoma, watu walikuwa wachache mno, nilikuwepo nikiangalia utumbo wao, nilipoona napoteza muda nikaondoka zangu, mkutano umejaa udini kuliko siasa.Wakatoliki walijazana t pale Bulyaga wakieneza neno la mungu
Uzuri ni kwamba JF imeenea dunia nzima Kwa maana hiyo hata Tanzania iko Kila mahali. Tunajua vizuri mikutano ya CCM kuhusu DPW inavyofanyika. Niko hapa kwangu Mafinga lakini wiki juzi watu walisombwa hapa kupelekwa Mbeya kwenye mkutano wa Chongolo uliohutubiwa pia na Tulia na Wasira. Watu walitolewa Hadi Rukwa na Songwe halafu unajifanya kuongelea Mkutano uliofanikiwa kimkakati pale Bulyaga?Hakuna chama hapa, Zito aligoma, Lipumba aligoma, watu walikuwa wachache mno, nilikuwepo nikiangalia utumbo wao, nilipoona napoteza muda nikaondoka zangu, mkutano umejaa udini kuliko siasa.Wakatoliki walijazana t pale Bulyaga wakieneza neno la mungu
Yaani wahurumie tu! CCM propaganda ni nyingi sana!Ujinga. UONGO!
✓Askofu wa Kanisa Katoliki Severin Niwemugiizi alimkosoa sana Magufuli (Mkatoliki mwenzie), akaambiwa siyo raia!
✓Askofu Kakobe alimkosoa sana Magu, TRA wakatumwa kumpekua.
✓Askofu Gwajima alimkosoa sana Magu akabambikiwa kesi ya uongo na akapimwa mkojo!
✓Askofu Mwamakula alimkosoa Magu juu ya utekaji, ubambikaji kesi, nk.
✓Askofu Mwingira alimkosoa Magu..
nk, nk, nk..
Hivyo, hizi porojo kuwa Samia anakosolewa kwa sababu ya dini ni hila, uzushi, uzandiki, utapeli wa ccm kudanganya wajinga!
Ukweli ni kwamba waru hawakuja kma mlivyo tarajia
Toa ukatoriki sema chadema please tupo wakatoriki tunao jitambuaTemeke huko,wakatoliki walikua wanapinga ujio wa mwarabu..lakini mwarabu yuaja
Nimependa caption ya mwisho hapo