Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba japo kapocha kamoja.Mkutano umejaza Nyomi na sio watu wa kusombelea kutoka miko mingine,wote wameenda wenyewe kwa nauli zao kusikiliza wauza nchi wakipigwa spana.
Walikuwa wanapinga sana, fuatilia bunge yaliyopitanakwambia hawa jamaa ni gunia la tumbaku
Teh teh teh teh!!!Asanteni watanganyika, wahuni lazima watajwe leo hata kama wakijificha kwa vilemba.
Bandari zetu ni sasa, mambo ya dini na takataka nyingine wapelekewe wajinga, werevu hawataki kuzisikia.
Mbona kama ushabiki wa Yanga na Simba eti.Pamoja na Mvua kunyesha kuanzia Alfajiri huku Temeke, lakini mpaka sasa kwenye viwanja vya Bulyaga, ambako kuna Mkutano kabambe wa kupinga Mkataba mbovu na kupiga spana madalali wa Bandari za Tanganyika , watu wameanza kuja.
Vikundi vya kutumbuiza wananchi tayari viko jukwaani , awali watu wa Afya (Red cross) walishafika viwanjani mapema asubuhi
View attachment 2696905
Updates
=======
Baba Askofu Mwamakula atoa siri kwamba wao kama viongozi wa dini wanajua mambo mengi kuhusu mkataba huu ndio maana wanaukataa , anasema ni vema tukauvunja sasa badala ya kusubiri yatukute ya Djibout .
Watu ni wengi mno ! Maagizo ya Mwaipopo yamegonga mwamba
Duh!Aiseee hili kongomano la injili limedoda kabisa yaani watanzania wamewapuuza maaskofu njaa.
Wewe ni mmoja wa watu wa hovyo sana, unaonaje maujinga wakati mkutano haujaanza, haufai kuwa kiongozi.Unluckly ofisi zangu zipo Jirani hivyo nauna maujinga Yote!
Picha ni hii hii tu?Pamoja na Mvua kunyesha kuanzia Alfajiri huku Temeke, lakini mpaka sasa kwenye viwanja vya Bulyaga, ambako kuna Mkutano kabambe wa kupinga Mkataba mbovu na kupiga spana madalali wa Bandari za Tanganyika , watu wameanza kuja.
Vikundi vya kutumbuiza wananchi tayari viko jukwaani , awali watu wa Afya (Red cross) walishafika viwanjani mapema asubuhi
View attachment 2696905
Updates
=======
Baba Askofu Mwamakula atoa siri kwamba wao kama viongozi wa dini wanajua mambo mengi kuhusu mkataba huu ndio maana wanaukataa , anasema ni vema tukauvunja sasa badala ya kusubiri yatukute ya Djibout .
Watu ni wengi mno ! Maagizo ya Mwaipopo yamegonga mwamba
Hakuna kitu kama hicho. Zitto Kabwe peke yake ndo aliwahi kukataa posho ingawa naye kumbe alikuwa anapiga noti ndefu sana toka kwa mabeberuWalikuwa wanapinga sana, fuatilia bunge yaliyopita
Hivi uyu mama alilogwa na ccm yake , amekwisha sasaPamoja na Mvua kunyesha kuanzia Alfajiri huku Temeke, lakini mpaka sasa kwenye viwanja vya Bulyaga, ambako kuna Mkutano kabambe wa kupinga Mkataba mbovu na kupiga spana madalali wa Bandari za Tanganyika , watu wameanza kuja.
Vikundi vya kutumbuiza wananchi tayari viko jukwaani , awali watu wa Afya (Red cross) walishafika viwanjani mapema asubuhi
View attachment 2696905
Updates
=======
Baba Askofu Mwamakula atoa siri kwamba wao kama viongozi wa dini wanajua mambo mengi kuhusu mkataba huu ndio maana wanaukataa , anasema ni vema tukauvunja sasa badala ya kusubiri yatukute ya Djibout .
Watu ni wengi mno ! Maagizo ya Mwaipopo yamegonga mwamba
Unamaanisha kwamba watu wengi wanasapoti Mkataba ?hii closer inaonyesha watu wachache kifupi mmeangukia pua.
Joined july 22/2023 kwa jina feki la mchongoCHADEMA hakuna mpya
Hayamaudhurio hafifu kabisa licha yakua mkutano ni jumapili jitazameni vizuri watanzania si wajinga