BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

Asanteni watanganyika, wahuni lazima watajwe leo hata kama wakijificha kwa vilemba.

Bandari zetu ni sasa, mambo ya dini na takataka nyingine wapelekewe wajinga, werevu hawataki kuzisikia.
Teh teh teh teh!!!
Unachekesha!!

Mshapata burudani yenu wenyewe mmeridhiiiika.
But you've nothing to change...
 
Pamoja na Mvua kunyesha kuanzia Alfajiri huku Temeke, lakini mpaka sasa kwenye viwanja vya Bulyaga, ambako kuna Mkutano kabambe wa kupinga Mkataba mbovu na kupiga spana madalali wa Bandari za Tanganyika , watu wameanza kuja.

Vikundi vya kutumbuiza wananchi tayari viko jukwaani , awali watu wa Afya (Red cross) walishafika viwanjani mapema asubuhi

View attachment 2696905


Updates
=======
Baba Askofu Mwamakula atoa siri kwamba wao kama viongozi wa dini wanajua mambo mengi kuhusu mkataba huu ndio maana wanaukataa , anasema ni vema tukauvunja sasa badala ya kusubiri yatukute ya Djibout .

Watu ni wengi mno ! Maagizo ya Mwaipopo yamegonga mwamba
Mbona kama ushabiki wa Yanga na Simba eti.
Hv mko serious na bandari au kushindania nani atashinda ligi hii..
 
Pamoja na Mvua kunyesha kuanzia Alfajiri huku Temeke, lakini mpaka sasa kwenye viwanja vya Bulyaga, ambako kuna Mkutano kabambe wa kupinga Mkataba mbovu na kupiga spana madalali wa Bandari za Tanganyika , watu wameanza kuja.

Vikundi vya kutumbuiza wananchi tayari viko jukwaani , awali watu wa Afya (Red cross) walishafika viwanjani mapema asubuhi

View attachment 2696905


Updates
=======
Baba Askofu Mwamakula atoa siri kwamba wao kama viongozi wa dini wanajua mambo mengi kuhusu mkataba huu ndio maana wanaukataa , anasema ni vema tukauvunja sasa badala ya kusubiri yatukute ya Djibout .

Watu ni wengi mno ! Maagizo ya Mwaipopo yamegonga mwamba
Picha ni hii hii tu?
 
Pamoja na Mvua kunyesha kuanzia Alfajiri huku Temeke, lakini mpaka sasa kwenye viwanja vya Bulyaga, ambako kuna Mkutano kabambe wa kupinga Mkataba mbovu na kupiga spana madalali wa Bandari za Tanganyika , watu wameanza kuja.

Vikundi vya kutumbuiza wananchi tayari viko jukwaani , awali watu wa Afya (Red cross) walishafika viwanjani mapema asubuhi

View attachment 2696905


Updates
=======
Baba Askofu Mwamakula atoa siri kwamba wao kama viongozi wa dini wanajua mambo mengi kuhusu mkataba huu ndio maana wanaukataa , anasema ni vema tukauvunja sasa badala ya kusubiri yatukute ya Djibout .

Watu ni wengi mno ! Maagizo ya Mwaipopo yamegonga mwamba
Hivi uyu mama alilogwa na ccm yake , amekwisha sasa
 
Kongole nyingi mno ziende kwa watu wote walioguswa na sakata hili la bandari zetu hasa wewe Erythrocytes. Nchi hii kwa sasa inawahitaji mno watu wote wenye kariba hizo kwa ajili ya ulinzi wa rasilimali za taifa letu.
 
Back
Top Bottom