Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ni kweli kabisa, hata wakati wa chaguzi huwa tunaona mkivunja sheria na kuingiza mabox yaliyojaa kura fake.CHUNGENI NDIMI ZENU,SHERIA ZIPO NI VILE TU TUNAZIPUUZA.
Mkitoka huko kusikiliza waropokaji pitieni uwanja wa taifa mkapate na kuona Yale yaliyo mazuri na kwa usalama wenu pia.