BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

Nondo kali zinashusha hapa viwanja vya Bulyaga Temeke kuhusu yanayoweza kuongeza ufanisi bandarini na nje ya bandari hadi mzigo umfikie mlaji kwa wakati muafaka bila ulazima wa kuigawa bandari na vichochoro vyake kwa DP World.

Tkukumbuke moja ya bandari zinazohusishwa na kuchukuliwa bure na DP World yaani bandari ya Dar es Salaam ipo katika wilaya ya Temeke nchini Tanzania huku maghala yaliyotapatakaa pembezoni ya barabara ya Mandela Express Way pia yapo wilaya ya Temeke na yanamilikiwa na kampuni nyingi za uchukuzi na ugavi za waTanzania na maeneo yao yanazengewa na DP World.
 
CHUNGENI NDIMI ZENU,SHERIA ZIPO NI VILE TU TUNAZIPUUZA.
Mkitoka huko kusikiliza waropokaji pitieni uwanja wa taifa mkapate na kuona Yale yaliyo mazuri na kwa usalama wenu pia.
Utabadili lugha kama kasuku , lakini siye twaendelea kusonga mbele
 
Nondo kali zinashusha kuhusu yanayoweza kuongeza ufanisi bandarini na nje ya bandari hadi mzigo umfikie mlaji kwa wakati muafaka bila ulazima wa kuigawa bandari na vichochoro vyake kwa DP World
Kumekucha !
 
Haya ndio matamanio ya kila mwanaccm. Na hii mvua ya kushtukiza kila mwanaccm anatamani iendelee hivi hivi leo nzima.
Kutoka mkutano hadhi ya ngazi ya taifa Zima hadi kibunge Cha Hoja ngazi ya kijiwe Cha kahawa 🤣
 
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.

Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.

Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.

View attachment 2696990
View attachment 2696992
 
huku maghala yaliyotapatakaa pembezoni ya barabara ya Mandela Express Way pia yapo wilaya ya Temeke na yanamilikiwa na kampuni nyingi za uchukuzi na ugavi za waTanzania

Pata picha halisi ya bandari ya Dar es Salaam na Mandela express way toka bandarini Dar es Salaam


Mkongomani anaipigia chapuo kazi nzuri ya bandari ya Dar es Salaam, kwa wale ambao hawajawahi kufika bandarini kuona uwekezaji mkubwa uliokwisha fanywa kupitia kodi za wananchi kwa bandari na miundo-mbinu ya barabara ya Mandela express way ..



Achukua mchanga kuonesha kuivulia kofi bandari ili kupata baraka za eneo hili la kibiashara tajwa katika ufukwe wa Afrika.

Uwekezaji mkubwa wa miundo-mbinu mitambo na zana uliofanywa na TPA, serikali ya Tanzania na sekta binafsi nayo imewekeza pesa ndefu na ndiyo maana kuna pilikapilika kibao za kiuchumi na biashara maeneo ya bandarin na jirani ya bandari.

Anatutembeza kuona tuone wenyewe shughuli halisi nyingi zinazoendelea live kupata picha halisi za silos/ ghala za nafaka, yadi / magodauni zenye makasha / container kibao ambayo makampuni ya kiTanzania yamewekeza kwa wingi bembezoni mwa Bandari Road na Mandela express way jijini kwa ajili ya kwenda nchi jirani za ukanda huu wa Afrika mashariki

Utitiri wa makampuni ya usafirishaji, ugavi yaonesha jinsi wafanyabiashara walivyo na imani na kazi nzuri ya bandari ya Dar es Salaam kiasi ya kuwekeza maelfu ya maroli ya safari ndefu za kuvuka mipaka yakibeba bidhaa kama dizeli, makasha, bidhaa mchanganyiko toka sehemu mbalimbali kama bandari za Dubai, Singapore, China, Marekani ya Kaskazini n.k

 
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.

Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.

Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.

View attachment 2696990
View attachment 2696992
Nadhani CHADEMA wanapaswa kujitazama upya na kujipanga kwenye mambo yao hawako serious hata kidogo.
 
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.

Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.

Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.

View attachment 2696990
View attachment 2696992

Aibu ya karne huwezi kusema chama wewe ni chama kikuu cha upinzani usiyeweza kujaza uwanja wa mita 100 haiwezekani wajitazame upya.
 
Aibu ya karne huwezi kusema chama wewe ni chama kikuu cha upinzani usiyeweza kujaza uwanja wa mita 100 haiwezekani wajitazame upya.
CHADEMA ni chama kikuu cha upinzani?
Wana wabunge wangapi BUNGENI?
Shule zifunguliwe , naona pre form five mnajadili mambo msiyojua.
 
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.

Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.

Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.

View attachment 2696990
View attachment 2696992
Uongo wa bei rahisi hautakusaidia chochote

FB_IMG_1690114683951.jpg
 
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.

Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.

Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.

View attachment 2696990
View attachment 2696992
Kwan ukileta picha halis kuna shida gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.

Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.

Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.

View attachment 2696990
View attachment 2696992
Bora wao hawasombi watu Kwa malori
 
Back
Top Bottom