BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

Pamoja na Mvua kunyesha kuanzia Alfajiri huku Temeke , lakini mpaka sasa kwenye viwanja vya Bulyaga , ambako kuna Mkutano kabambe wa kupinga Mkataba mbovu na kupiga spana madalali wa Bandari za Tanganyika , watu wameanza kufurika .

Awali kuna Mamluki wakiongozwa na Maulid Kitenge au "KITENGE DP" kama anavyofahamika sasa , walisambaza uzushi wa kwamba Msajili wa Vyama vya siasa , Francis Mutungi , amezuia Mkutano huo , lengo la Mamluki hawa lilikuwa kuwachanganya wananchi ili wasihudhurie , hata hivyo kama tunavyosema siku zote kwamba SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU , ndicho kilichotokea

Vikundi vya kutumbuiza wananchi tayari viko jukwaani , awali watu wa Afya (Red cross) walishafika viwanjani mapema asubuhi

View attachment 2696905


Updates
=======
Baba Askofu Mwamakula atoa siri kwamba wao kama viongozi wa dini wanajua mambo mengi kuhusu mkataba huu ndio maana wanaukataa , anasema ni vema tukauvunja sasa badala ya kusubiri yatukute ya Djibout .

Watu ni wengi mno ! Maagizo ya Mwaipopo yamegonga mwamba

View attachment 2697017
Leta picha tafadhali
 
Watu wanataka maendeleo na sio siasa taka za kupinga kila jambo linalofanywa na chama pendwa, chama chenye historia katika bara hili na hata duniani kwa ujumla chama tawala CCM.
 
Kwan ukileta picha halis kuna shida gani?

Sent using Jamii Forums mobile app

IMG_8250.jpg

Hizi ni picha halisi kabisa, na mpo live kabisa msije kusema mlizuiwa kurusha live
 
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.

Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.

Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.

View attachment 2696990
View attachment 2696992
Una kiherehere Cha kike. Tulia
 
SAUTI YA WATANZANIA, DIWANI ATUMA UJUMBE MZITO KWA CCM



Deogratius Mushi kiongozi na mwanaCCM, aishangaa CCM kuhusu suala la bandari. Bw. Mushi ni diwani wa Kibosho Magharibi Kilimanjaro mstaafu ..
 
Back
Top Bottom