BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

BANDARI DAY: Mkutano wa Hadhara wa CHADEMA Viwanja vya Bulyaga, Temeke

Nipo hapa ninachojionea ni banda tu la red cross, watanzania sio wajinga na so kila mtu angependa kugeuzwa ngazi za mwanasiasa uchwara,wanasiasa wakiwapata wapuuzi wa kuwasikiliza hufurahi kweli maana ndio mtaji wao!
Sisisote ni wanasiasa ukiwemo na wewe ukisema wanasiasa inatubidi dukupuize na wewe kwasababu unaongea mambo ya siasa. Siasa ni maisha
Ukisema maji hayatoki hiyo nisiasa. Ukisema watu wasiibe hiyo nisiasa. Ukisema tupendane hiyo nisiasa. Ukisema watu wanaiba hiyo nisiasa. Ukisema viongozi watuongoze katikamisingi ya amani hiyo pia nisiasa. Tukitaka kujitoa kwenye siasa inatubidi tuwe mabubu tusiongee chochote hapo tutakuwa tumejitenga na siasa
 
1690112596161.png
 
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake. Waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la Maria Spaces lakini hali imekuwa tofauti. Wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.

Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa. Vijana wa BAVICHA wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.

Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema, yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.

IMG_8245.jpg

IMG_8248.jpg


Picha zaidi muda huu wakielekea kufunga mkutano. View attachment 2697107
View attachment 2697108
 
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la maria space lakini hali imekuwa tofauti wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.

Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa Umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa, Vijana wa Bavicha wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.

Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.

View attachment 2696990
View attachment 2696992
Daaa kuna nyomi saaaaana
 
Ni kama hawasomi alama za nyakati kuwa siasa ni logistics siyo propaganda pekee yake waliuandaa huu mkutano kwa mbwembwe nyingi kama wapo kwenye Jukwaa la maria space lakini hali imekuwa tofauti wale waliowatangazwa kuwepo hawapo na watu pia hakuna.

Jana waliaandaa vipeperushi feki kuhadaa Umma mkutano umepigwa marufuku na msajili wa vyama vya siasa, Vijana wa Bavicha wakashambulia gari la Mwananchi media, leo wapo peke yao uwanjani.

Wajifunze kwa yale yaliomkuta Eliyatonga Augustine Mrema yanakwenda kujirudia kwao. Picha hizi hapa zinajieleza wazi.

View attachment 2696990
View attachment 2696992
Haya ndio matamanio ya kila mwanaccm. Na hii mvua ya kushtukiza kila mwanaccm anatamani iendelee hivi hivi leo nzima.
 
CHUNGENI NDIMI ZENU,SHERIA ZIPO NI VILE TU TUNAZIPUUZA.
Mkitoka huko kusikiliza waropokaji pitieni uwanja wa taifa mkapate na kuona Yale yaliyo mazuri na kwa usalama wenu pia.
 
Dunia ya kidijitali mkutano huo wa Bulyaga Temeke unafuatiliwa ndani ya wilaya zote za Tanganyika na ulimwengu kwa ujumla na ujumbe kuwa Bandari Yetu Haiuzwi utakuwa na digital print ya milele ktk majukwaa ya kijiditali

Mfano yanyayojiri viwanja vya Bulyaga kwa ujumla wake yatatizamwa na watu zaidi ya 100,000 ndani ya Tanzania na ni idadi kubwa zaidi kuliko wanaohudhuria mikutano ya hadhara ya CCM ya katibu mkuu Chongolo na watu hao zaidi ya 100,000 wa Bandari Yetu wataendelea kuyazungumza ktk nyumba, vijiwe na mitaa yao kote Tanzania
 
Back
Top Bottom