Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Hakuna mtanzania wa kuiweka CDM madarani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio msemaji wa watanzania?Hakuna mtanzania wa kuiweka CDM madarani
nilikuwepo nikiangalia utumbo wao, nilipoona napoteza muda nikaondoka zangu,
Utakua Shekhe Mwaipopo wewe umekuja na ID nyingineHakuna chama hapa, Zito aligoma, Lipumba aligoma, watu walikuwa wachache mno, nilikuwepo nikiangalia utumbo wao, nilipoona napoteza muda nikaondoka zangu, mkutano umejaa udini kuliko siasa.Wakatoliki walijazana t pale Bulyaga wakieneza neno la mungu
Hakuna chama hapa, Zito aligoma, Lipumba aligoma, watu walikuwa wachache mno, nilikuwepo nikiangalia utumbo wao, nilipoona napoteza muda nikaondoka zangu, mkutano umejaa udini kuliko siasa.Wakatoliki walijazana t pale Bulyaga wakieneza neno la mungu
Hawakukubatiza?Hatari sanaHakuna chama hapa, Zito aligoma, Lipumba aligoma, watu walikuwa wachache mno, nilikuwepo nikiangalia utumbo wao, nilipoona napoteza muda nikaondoka zangu, mkutano umejaa udini kuliko siasa.Wakatoliki walijazana t pale Bulyaga wakieneza neno la mungu
Msalimie Mwaipopo
Hakuna chama hapa, Zito aligoma, Lipumba aligoma, watu walikuwa wachache mno, nilikuwepo nikiangalia utumbo wao, nilipoona napoteza muda nikaondoka zangu, mkutano umejaa udini kuliko siasa.Wakatoliki walijazana t pale Bulyaga wakieneza neno la mungu
Wewe ndio muuliza wa watanzania?Wewe ndio msemaji wa watanzania?
Wewe ndio muuliza wa watanzania?Wewe ndio msemaji wa watanzania?
Temeke huko,wakatoliki walikua wanapinga ujio wa mwarabu..lakini mwarabu yuajaBulyaga ni wapi chief
Nilitaka wazushi waweke picha zao ili kuthibitisha uzushi waoIla huu uzi haujautendea haki kwakweli Erythrocyte sijui wewe unaonaje
Yaani hao ndio "wengi sana"?🤣🤣
Si waje tuoneTemeke huko,wakatoliki walikua wanapinga ujio wa mwarabu..lakini mwarabu yuaja
Nilitaka wazushi waweke picha zao ili kuthibitisha uzushi wao
Elfu 7Wewe si uko Geita , huku umefikaje ?
Utakuwa darasa la saba failureHakuna chama hapa, Zito aligoma, Lipumba aligoma, watu walikuwa wachache mno, nilikuwepo nikiangalia utumbo wao, nilipoona napoteza muda nikaondoka zangu, mkutano umejaa udini kuliko siasa.Wakatoliki walijazana t pale Bulyaga wakieneza neno la mungu