FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.
Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.
Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.
TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.
DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.
TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.
Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.
Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.
Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.
Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.
Kila mahali patakaa sawa.
Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.